kazi nzuri pamoja na vikwazo vingu ushauri mwingine hii adha waliyokutana nayo waipeleke katika mikutano yao mikuu ya mtaa na waeleze jinsi wanavyo kwamishwa na diwani pia wajenge hoja katika vikao vya kamati ya maendeleo ya kata wdc
kwani huyo mrema si aliwahi kujitangaza kwamba amepona kisukari baada ya kunywa kikombe cha babu kule loliondo?? Sasa tena anatapa tapa nini?? Wabunge sampuli hii kuchaguliwa tena nimatumizi mabaya kwa wanavunjo tena
Bado kule tarime ambako ccm waliahilisha kuwaapisha wenyeviti na wajumbe ktk halmashauri ya mji kwa zoezi hilo lilikwama trh30.12.2014 likasogezwa baada ya maccm kutaka kuapishwa kwa mitaa miwili kwa nguvu wakapewa kichapo kisha hakimu akaishia njiani wakapanga trh6 ya juzi nayo imeshindikana...
Kwanza unapotosha kwanini usionyeshe mbele ya mkutano mhutubiaji anaangalia mbele kumaanisha ndiko kuna watu pia hiyo sirari huwa ni ccm na history inaonyesha hivyo sasa huamini nini sasa ???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.