shadow recruit
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 1,844
- 384
- Thread starter
- #41
Tunampuuza kama wapuuzi wengine hatuna muda naye tunasonga mbele
haswaaaaaaa asitupotezea muda macho yetu kwenye mkutano mkuu
Tunampuuza kama wapuuzi wengine hatuna muda naye tunasonga mbele
haswaaaaaaa asitupotezea muda macho yetu kwenye mkutano mkuu
Hana Mpya Bwabwa huyo anasaka wa kum boost asitake tuseme Mengi humu nani asiyemjua kuwa Bwabaaaa.
Huyu tunamupuuza kama alivyo ccm wana laana kwa hiyo siyo kosa lako bora MUNGU akupe hekima akunyime pesa kuliko kuwa na pesa wakati huna hekima
Huyu tunamupuuza kama alivyo ccm wana laana kwa hiyo siyo kosa lako bora MUNGU akupe hekima akunyime pesa kuliko kuwa na pesa wakati huna hekima
Hiyo ni elimu tosha kwa kutusaidia CHADEMA kwani wanainchi wataendelea kuichukia ccm na dola yake kwa manyanyaso na dhihaka asubili.2015
Ndio maana kakumbatiwa na dume jenzie!!! Atakua na tabia mbaya
Haahaa hajui cdm ni mpango wa Mungu
Wakati anasema hayo ulikuwepo ww zwazwa au unatafuta cheap popularity hapa mtaani. Mazwazwa wengine bwana unatunga hoja dhaifu halafu cha ajabu mazwazwa wengine nao hata hawafanyi utafiti na kumwuliza kama wakati anwadharirisha na yeye alikuwepo, lakini kwa uzwazwa wao tu hawalioni hilo