Imekaa poa chamsingi ni kuweka mbali uoga,
Side effects[emoji38] umeshaanza kusahau hadi kuandika sasa yani masters yenyewe ishakutoka, tafuta kazi kwa kurelax sasa ukalipe deni la serikali[emoji28]
Wadau tunajuana mimi marafiki zangu najua nawakuta wapi na wao wanajua wananikuta wapi apo me namtetea mwamba asingeweza kuchukua risiti huo sio ushahidi izo ni dhana zako tu mbovu
Najiuliza maswali mengi kuhusu elimu yetu hapa Bongo, ni kwamba system inatulazimisha tusomeshe watoto wetu shule binafsi au ni upuuzi tu wa watu wachache kuna mambo yananishangaza sana kuhusiana na hizi shule za Serikali.
(1) Hivi kama tunalipa tozo kwenye simu hadi umeme serikali inachukua...
Unapozungumzia uislam kuletwa Africa kuna historia ambayo unatakiwa kuijua yani ipo ivi kipindi Muhamad anawaambia watu wake kua yeye ni mtume imeshushwa kwake quran watu wa makkah walimpinga nakumpiga vita kwasababu walikua wakiabudu mizimu na masanam nakufata mila za babu zao kama ilivokua...
Ngoja nikufunze jambo moja ambalo huwa hamzingatii wanawake..
Kumzuia mke kushika sim sio kwasababu ya umalaya tu kuna mambo mengi ambayo yanawachanganya sana kwasababu mda mwingi mnatumia hisia zaidi kuliko akili unaweza kutana na jambo ambalo halihusiani na uzinzi ukaliwaza tofauti kabisa...
Kwani we dini gani ? Kama ni muislam dini inatoa muongozo kwenye mambo ya ugeni mgeni anatakiwa asikae zaidi ya siku 3 ugenini ni rahis sana kuwakimbiza kwa kutumia njia za kiimani usiishi kwako kama msela nondo lazima uweke misingi yani simamia upande mmoja kua strict watu hao wanapenda anasa...
Kila mtu anayo historia ya matukio mbalimbali yaliyowahi kumkuta katika harakati za kukimbizana na maisha na kulisogelea kaburi,
"We live once... one day we will leave this world behind"
Hakuna jambo zuri kama kufurahi wazee nakumbuka zamani licha ya kua wengi wetu tulikua katika mazingira...
Mtoa uzi naona kama hajielewi ivi sifungamani na pande yoyote ila alieandika uzi huu huenda anamatatizo ya akili au anachuki binafsi inamsumbua.
Utashangaa zaidi mtoa uzi jina lake anaitwa john, Lucas, peter,alex... Alafu kaumia mwenzake kuitwa Hassani, Rashidi, Abdallah
Mtoa uzi ni punguani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.