Wazo zuri ni kueekeza kwenye miradi midogo midogo miwili au mitatu kama kununua mahundi kuweka stoo na kingine wamesahau ni mpunga ndugu nao ukiweka stoo baada ya miez kadhaa wewe ni tajiri unaweza kupata mahindi kwa gunia 35000 au 40000 baada ya miez 4 au 6 unauza 70000 mpaka 80000 mpunga nao...
Mleta mada mnafki na muongo kwanza wewe mwenyewe umejistukia kwa kusema waandishi wasiikanushe kwa kuwa unajua uwongo wako utaishia kwako hauwez kwenda kwenye tv wala redio na gazeti la mtu pumbavuuuu
Kuna mkanganyiko humu kwenye story yako / 1. mmeachana mwaka umeoa mke na ndoa juu na bos kafunga na mrangi wako ndoa kwanza kakusaliti vizuri tu na mchana kweupe macho makavu na wewe kwa limbwata alilokupa miaka kadhaa iliopita leo kakuchokonoa kidogo na wewe umewaka tena kimapenzi kifuatacho...
Napenda lowasa akatwe moja atasaidia sana kuizika ccm mbili upinzani utakuwa kwa kasi kubwa maana lijamaa jizi limeiba hadi wanachama wa chama chake na ameweza kubadili njano kuwa nyekundu et yeye pekee ndie msafi ndani ya ccm duu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.