Asante mkuu nina swali mim nina gar yangu pia kuna jamaa anataka kuniuzia body tupu nifunge kwenye gari yangu hais sasa kadi itasoma tofauti na body inakuaje hapo ili nioanishe engine namba na cheses namba kwenye kadi yangu?
Jana katika taarifa ya habari I.T.V nilimwona meng akisema kuna gazeti la taifa imara limehapisha habari kuwa "zito alienda ikulu na kumwambia j.k kuwa anaeiangusha mara kwa mara serikali yake ni meng na gazeti hlo likaenda mbali zaidi na kudai j.k ameapa kumshugulikia mengi!
Jeshi la police limeshauri kuwekwa adhabu ya kifungo cha maisha kwa dereva atakae sababisha ajali na kuua na kudai haiwezekani auwe watu 20 au 30 aishie kulipa fain sh, 30,000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.