Wanafunzi 147 wauawa na alshabaab huko garissa Kenya

Wanafunzi 147 wauawa na alshabaab huko garissa Kenya

geomos

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2014
Posts
625
Reaction score
175
Nawaza faida wanayopata waislamu wenye msimamo Mkali kwa kuwaua wanafunzi wasichana na wavulana
 
Kwani al shabaab ni waislamu?Mimi nilijua ni free mason

Al shabaab ni waislam. ila sijui ni shia ama suni!!. ndio maana walikuwa wanawashoot non-muslim kwenye hilo tukio.
Nadhani imefika mahali na sisi wakristo tuanze kujihami. Maana tuendako tutakuja kuandamwa kama ndugu zetu albino wanavyouwawa sasa.
 
Anaewauwa wakenya ni rais kibak na uhuru kenyata kupeleka majesh somalia wala sio alshabb
 
Vita hii imegeuka kuwa vita ya imani

Hapa hamna namna jamaa waondoke Somalia
 
2_216.png

[h=1]Surat Al-Baqarah 2.216 (The Cow) - سورة البقر[/h]
Fighting has been enjoined upon you while it is hateful to you. But perhaps you hate a thing and it is good for you; and perhaps you love a thing and it is bad for you. And Allah Knows, while you know not.

Ugomvi ukishakuwa ibada, basi hakuna njia nyingine acha tupigane tusije ikosa pepo na wale bikira 72
 
Tena walikuwa wanachagua waislam wanaachwa,wakrito ndio wanauawa
 
Nawaza faida wanayopata waislamu wenye msimamo Mkali kwa kuwaua wanafunzi wasichana na wavulana
Faida wanayoipata ni ahadi waliyopewa na kuwa watapata bikra 72 peponi sasa sijui nao wanawake watapata nini?
 
Al shabaab ni waislam. ila sijui ni shia ama suni!!. ndio maana walikuwa wanawashoot non-muslim kwenye hilo tukio.
Nadhani imefika mahali na sisi wakristo tuanze kujihami. Maana tuendako tutakuja kuandamwa kama ndugu zetu albino wanavyouwawa sasa.

Al Shabbaab ni wakristo
 
Back
Top Bottom