Chombo cha habari maarufu barani Africa na kinachodhamini tuzo za MTV mama African music awards kimepost taarifa za wasanii watakao perform siku ya event 22/10/2016 akiwemo,Alikiba kutoka Africa Mashariki,Jamani wameamua kuonja asali watachonga mzinga.
Star wa bongo flava Alikiba anayefanya vizuri na ngoma yake ya `aje' ,imetangazwa kuwa number #1kwenye playlist ya streaming app iitwayo Deezer's Africa rising playlist ambayo makao makuu yake ni nchini France Paris na imeenea zaidi ya nchi 180 duniani.Tembelea www.deezer.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.