Recent content by Ozone_

  1. O

    Ni kwanini wanawake hung'ang'ania kubaki na watoto baada ya mahusiano kuvunjika?.

    Haijalishi, ila mara nyingi pia watoto huishia kutelekezwa kwa bibi zao,
  2. O

    Ni kwanini wanawake hung'ang'ania kubaki na watoto baada ya mahusiano kuvunjika?.

    Shida sio kukaa nae, tatizo linaanza pale unapoona mwanao ndio chanzo cha mapato.
  3. O

    Ni kwanini wanawake hung'ang'ania kubaki na watoto baada ya mahusiano kuvunjika?.

    Yaweza kuwa hao wanyama, wanweza wahudumia watoto wao
  4. O

    Ni kwanini wanawake hung'ang'ania kubaki na watoto baada ya mahusiano kuvunjika?.

    Kwa kipindi cha mda mrefu nimekuwa nikisikia na kushuhudia kesi zinazohusu ukwepaji wa matunzo kwa watoto zikiwakabili wanaume baada ya kutengana na wapenzi wao waliojaaliwa kupata mtoto au watoto pamoja. Wiki mbili zilizopita nilikutana na classmate wangu mmoja, bi dada flani hivi mwenye...
  5. O

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Watu wanataka kuweka mzigo
Back
Top Bottom