Hii nchi kuna sehemu imetoboka wakati wanasema wanahitaji jeshi dogo ila la kisasa basi wangeandika tu kama wanahitaji waliofeli form six maana wengi wetu tunakopa nauli kwenda kupambania kisichokuwepo.
Mkuu Kwa ambao mzazi mmoja alifariki kabla ya Mambo ya nida hayajakuwepo wanahitaji uthibitisho wa kifo chake au namba ya nida ya mzazi mmoja inatosha.
Wakuu naomba kuuliza, je kwa mtu aliyetuma maombi bila kutumia njia ya ems kuna uwezekano maombi yasifike kwa wakati maana mimi nililipa sh.2000 ya stempu pale posta ya daresalaam tarehe 7. 8.2024 kisha nikatumbukiza bahasha kwenye kile kisanduku cha posta kwahiyo naomba kujuzwa kama nilikosea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.