Recent content by ozn

  1. O

    Natafuta kazi ya uhasibu naombeni msaada wenu

    Usifocus kwenye kazi moja eti uhasibu tu anyways, Kuna kazi ya kuwa mke wa mtu utaiweza?
  2. O

    Biashara ya nafaka ina umafia mwingi. Kwa wanaotarajia kuanza kuuza nafaka chukueni tahadhari

    Umenikumbusha mbali kuna jamaa yangu aliwahi kununua balo la mitumba 2017 akakuta zote ni bendera za marekani .
  3. O

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Hii nchi kuna sehemu imetoboka wakati wanasema wanahitaji jeshi dogo ila la kisasa basi wangeandika tu kama wanahitaji waliofeli form six maana wengi wetu tunakopa nauli kwenda kupambania kisichokuwepo.
  4. O

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Mkuu Kwa ambao mzazi mmoja alifariki kabla ya Mambo ya nida hayajakuwepo wanahitaji uthibitisho wa kifo chake au namba ya nida ya mzazi mmoja inatosha.
  5. O

    Ufaulu huu naweza kusoma BSc in Physics and Chemistry?

    Mkuu hiyo combination inaitwaje ?
  6. O

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Kifo ni popote boss usikariri
  7. O

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Lakini majiko mawili uhakika( kihangaiko , Oljoro)?
  8. O

    Nina Division Two ya point 10 (PCB)

    Omba quantity survey au architecture , Ardhi University .
  9. O

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Oljoro napo watapigisha kozi ?
  10. O

    Ajira za JWTZ - Vijana waliopo JKT na waliomaliza mkataba wa JKT

    Wakuu naomba kuuliza, je kwa mtu aliyetuma maombi bila kutumia njia ya ems kuna uwezekano maombi yasifike kwa wakati maana mimi nililipa sh.2000 ya stempu pale posta ya daresalaam tarehe 7. 8.2024 kisha nikatumbukiza bahasha kwenye kile kisanduku cha posta kwahiyo naomba kujuzwa kama nilikosea...
  11. O

    Nilivyopata pesa nyingi nilipokuwa askari wa TANAPA

    Mkuu hivi Kwa wanaofanya internship TANAPA huwa Wana posho maana nilitaka niombe nafasi ya internship
  12. O

    Kijana jiepushe na kupiga mipira iliyokufa

    Dead ball specialists 😂😂
Back
Top Bottom