Jana ilikuwa ni Lilongwe-Mzuzu-Chiweta-karonga-Kasumulu-Mbeya-Makambako-Njombe to Songea... Ila hapo mlima Chiweta na shida changamoto sana na mvua imepiga balaa
Nina nissan dualis namba BZB(BABA) na inadunda mbeya-songea-Mtwara bila shida yeyote. Nimeshabadili gearbox mara moja nilinunua laki 5 na kile ile water reserve tank ndo huwa inaletaga shida. Pia kuna kipindi ilikuwa haipokei resi na hii ilitokea baada ya panya kula nyaya. Nikitoka mbeya to dar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.