Recent content by ozigizaga

  1. ozigizaga

    JamiiForums Tanzania Iwambi siyo kwa kujenga nyumba! Nyumba kubwa hata milion 15 nimekosa

    Mimi pia nimeshangaa mkuu, ni week sasa jamaa kanunua kiwanja iwambi 1200sqm kwa 60M
  2. ozigizaga

    JamiiForums Tanzania Iwambi siyo kwa kujenga nyumba! Nyumba kubwa hata milion 15 nimekosa

    Iwambi ipi hiyo unayozungumzia mzee? Au kule jirani na seminarini? Katika sehemu mbeya viwanja na nyumba zimeshika hela basi ni Veta, Iwambi, new forest na isyesye
  3. ozigizaga

    JamiiForums Tanzania Naona vyuma vya China tutaanza kuvizoea sio muda. Ona ili Zeekr 9X SUV!

    Yamaaha/suzuki moja ni sawa na kununua kinglion 3
  4. ozigizaga

    JamiiForums Tanzania Scholarship za Japan MEXT: Waafrika tunafelishana wenyewe

    Shukrani Safi kwa kushare
  5. ozigizaga

    JamiiForums Tanzania Ni wapi naweza pata chumba cha kulala na tsh 60,000 kwa usiku Zanzibar?

    Dreams hotel, niliwahi kulala hapo
  6. ozigizaga

    JamiiForums Tanzania Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Jana ilikuwa ni Lilongwe-Mzuzu-Chiweta-karonga-Kasumulu-Mbeya-Makambako-Njombe to Songea... Ila hapo mlima Chiweta na shida changamoto sana na mvua imepiga balaa
  7. ozigizaga

    JamiiForums Tanzania Saikolojia kwanini watu wanaondesha brand za magari yanayofanana wanakuwa na tabia zinazofanana

    Hata hii CX 60 T6 nayo si haba kwenye mwendo mkuu
  8. ozigizaga

    JamiiForums Tanzania Nissan Dualis zimepatwa na nini?

    Nina nissan dualis namba BZB(BABA) na inadunda mbeya-songea-Mtwara bila shida yeyote. Nimeshabadili gearbox mara moja nilinunua laki 5 na kile ile water reserve tank ndo huwa inaletaga shida. Pia kuna kipindi ilikuwa haipokei resi na hii ilitokea baada ya panya kula nyaya. Nikitoka mbeya to dar...
  9. ozigizaga

    JamiiForums Tanzania Nissan Dualis zimepatwa na nini?

    Hata mimi nimeshangaa mkuu, dualis inatumia mafuta vizuri sana kwa uzoefu wangu
  10. ozigizaga

    JamiiForums Tanzania Nissan Dualis zimepatwa na nini?

    Nissan xtrail old, subaru yenye EJ20
  11. ozigizaga

    JamiiForums Tanzania Nissan Dualis zimepatwa na nini?

    Pre Premio G, Noah na Rav 4 old mkuu
  12. ozigizaga

    JamiiForums Tanzania Nissan Dualis zimepatwa na nini?

    Dualis inatumia mafuta vizuri sana mkuu
Back
Top Bottom