Lakini data za clients wapya nyingi ni kubumba sana, atleast kwa sasa baada ya kuleta mambo ya finger print japo bado kuna michezo ipo, nimefanya huko miaka 5 so najua ninachoongea(ghost Clients)
Nimegundua jamaa ni mnazi wa Jason/Newforce ndo maana nikaona tutaanza mabishano bila sababu ya msingi.. suala ni kwamba chaka la Newforce tunduma lishavamiwa kama ilivo kwa superfeo Songea
Nyakati zonabadilika mkuu, kwa sasa ABC anapeleka gar nyingi TUNDUMA kuliko Newforce/Golden. Mfano tatiba ya kesho ABC ana gari za dar-tdm 7 wakati Newforce/Jason anazo 5
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.