Recent content by ozigizaga

  1. ozigizaga

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Jana ilikuwa ni Lilongwe-Mzuzu-Chiweta-karonga-Kasumulu-Mbeya-Makambako-Njombe to Songea... Ila hapo mlima Chiweta na shida changamoto sana na mvua imepiga balaa
  2. ozigizaga

    Nissan Dualis zimepatwa na nini?

    Nina nissan dualis namba BZB(BABA) na inadunda mbeya-songea-Mtwara bila shida yeyote. Nimeshabadili gearbox mara moja nilinunua laki 5 na kile ile water reserve tank ndo huwa inaletaga shida. Pia kuna kipindi ilikuwa haipokei resi na hii ilitokea baada ya panya kula nyaya. Nikitoka mbeya to dar...
  3. ozigizaga

    Nissan Dualis zimepatwa na nini?

    Hata mimi nimeshangaa mkuu, dualis inatumia mafuta vizuri sana kwa uzoefu wangu
  4. ozigizaga

    Nissan Dualis zimepatwa na nini?

    Nissan xtrail old, subaru yenye EJ20
  5. ozigizaga

    Nissan Dualis zimepatwa na nini?

    Pre Premio G, Noah na Rav 4 old mkuu
  6. ozigizaga

    Nissan Dualis zimepatwa na nini?

    Dualis inatumia mafuta vizuri sana mkuu
Back
Top Bottom