Recent content by Ozel Harekat

  1. O

    Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

    Nimesahau password ya saris account ya open University kuna mdau anajua solution msaada tafadhali .
  2. O

    Viwango vya ubora wa huduma za Jeshi la Polisi Tanzania hoi, Rwanda yapenya

    Huu ni uongo mkubwa Nigeria juzi tu ilikuwa kati ya nchi yenye jeshi baya la polisi, leo imefikaje hapo. Halafu Rwanda ni zaidi ya US? huu sasa ni utani.
  3. O

    Viwango vya ubora wa huduma za Jeshi la Polisi Tanzania hoi, Rwanda yapenya

    Sio kweli, mbona Nigeria ni NPF (Nigeria police force ) lakini imo.
  4. O

    Mke na Mama hawaamini maelezo ya Polisi kuhusu kifo cha mpendwa wao. Kwanini imani kwa Polisi imepungua?

    Itasaidia nini?Kenya ni service lakini ipo kwenye top ten ya polisi wanaofanya vibaya Duniani lakini ukiangalia Uingereza na mataifa mengi makubwa ni force lakini bado wako vizuri sana. Ujinga ni kufikiri kubadili jina kutaleta ufanisi badala ya kuwekeza zaidi kwenye usalama.
  5. O

    Nini kitatokea endapo utakosa kulala kwa muda wa siku 15?

    Toa uongo wako hapa labda uniambie kutolala kitandani lakini kusinzia watu wanasinzia hata kwenye maji
  6. O

    Heshima kwako waziri wa mambo ya ndani

    Tangu Tangu lini sniffer dog akaenda kulinda, huo ni uropokaji tu yule mbwa popote aendapo lazima awe na handler wake ambae ni askari tena kwa kazi aliyofunzwa tu ambayo ni utambuzi sasa alienda kunusa pilau au.
  7. O

    Kufagia barabarani na kuzibua mitaro ni udhalilishaji kwa wanajeshi wetu

    wewe ilitakiwa ubaki huko huko Facebook, sijui umefuata nini huku kwenye great thinkers.
  8. O

    Aliyekuwa msaidizi wa Mwl Nyerere (ADC) Mgaya: Bila kujitegemea, tutauza mpaka Ikulu!

    *IGP Mgaya: Bila kujitegemea tutauza mpaka Ikulu* DEC 04, 2014 by RAIA MWEMA in HABARI HIVI karibuni, LIVINGSTONE RUHERE, alifanya mahojiano na aliyepata kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Philemon Mgaya, ambaye pia alipata kuwa msaidizi (ADC) wa Mwalimu Julius Nyerere. Yafuatayo ndiyo...
  9. O

    Kati ya SAUT na UDSM wapi panafaa zaidi kwa kitivo cha SHERIA (LLB)

    Aache ushindani wa kijinga, asome OPEN UNIVERSITY sio huko spoon feeding!
  10. O

    DODOMA: TAKUKURU wadaka Polisi wanne kwa kupokea rushwa ya TZS milioni 5

    Tangu lini askari wa pori la akiba wakawa police ? au police waliku..mbea mkeo?
  11. O

    Shahidi kesi ya bilionea Msuya: Niliteswa mpaka nikahasiwa na Polisi na kuamua kumfukuza mke wangu

    Waambie hawa waropokaji wao wanafikiri upelelezi ni rahisi sana, unaweza kuwa na uhakika kabisa kuwa huyu ndio muuaji lakini akagoma kutoa ushirikiano ili kupata ushahid wa kupeleka mahakamani ndio maana mara nyingine inatumika njia mbadala.
  12. O

    Jeshi la polisi kurusha live kesi zinazowahusu wanajeshi hadharani mnatengeneza bomu litakalowalipukia wenyewe

    Mhalifu ni mhalifu tu ulitaka ambembeleze pumbafuuu..Ukiingia kwe 18 za police lazima ujute hata kama wewe ni nani.
  13. O

    Jeshi la polisi kurusha live kesi zinazowahusu wanajeshi hadharani mnatengeneza bomu litakalowalipukia wenyewe

    Utaratibu gani boya wewe labda afanyie uhalifu kambini lakini akithibutu huku mitaani ananyooshwa tu.
Back
Top Bottom