Super Tuesday
JF-Expert Member
- Apr 5, 2016
- 636
- 723
Huu utetezi wao kwamba wote walikuwa Wamesafiri kipindi fulani unachekesha! Mahakama sio ya kutania
mzee baba mkwanja hauna maana kama dushe halisimami..utatumia pesa bt utakua na stress za kufa mtuAtafungua kesi ya madai na kama mahakama itamuona atatakiwa alipwe mkwanja wa kutosha na serikali
Kwanini mkuumsuya aliuwawa na police wenyewe ova
hapo anatafutwa mtu kuja kuwa mbuzi wa kafara.
Mkuu kinachoendelea sasa hivi ni utaratibu tu wa kisheria yaani ni kama mchezo fulani hivi ili tu kucheza na sheria kuweza kuithibitishia mahakama kwamba muuaji ni yupi haki iweze kutendeka lakini muuaji anajulikana hata records zao za simu zipo tu mbona ni swala la muda tu.Hivi kwa mini polisi au mawakili wao wasiwasiliane na makampuni ya simu zao na kujua siku hio,mda huo wa mauaji walikua wapi?Very simple.Record zipo mbona. Bongo bana.
Kwel mkuu maana Dushe ndo kila kitu kwa mwanaumemzee baba mkwanja hauna maana kama dushe halisimami..utatumia pesa bt utakua na stress za kufa mtu
maisha yakiwapiga ,mbona watakua tu.Mimi nishawaonya wanangu nisimsikie hata mmoja anasema anataka kua askari polisi,
hao jamaa hata mawakili wao wameshindwa kuwapa mbinu za ushindi wa hii kesi,utetezi wao umejikita kwenye kuteswa na police tu kitu ambacho hata mahakama inajua kabisa kuwa ni lazima uteswe sometimes ili useme ukweli, huwezi kuwa unatuhumiwa kesi kubwa hivyo afu interrogetors wawe wanakuhoji kwa kukubembelezaHalafu wote wamerudi tarehe moja ambayo ndio siku ya tukio..
Huu mchezo walichemka sana...ha
hao jamaa hata mawakili wao wameshindwa kuwapa mbinu za ushindi wa hii kesi,utetezi wao umejikita kwenye kuteswa na police tu kitu ambacho hata mahakama inajua kabisa kuwa ni lazima uteswe sometimes ili useme ukweli, huwezi kuwa unatuhumiwa kesi kubwa hivyo afu interrogetors wawe wanakuhoji kwa kukubembeleza
Kutoa maelezo au kukiri kosa kwa sababu ya kuteswa ni kinyume cha sheria na mahakama ikithibitisha kuwa kulikuwa na mateso basi haitakubali maelezo yatumike kama ushahidi! Na ndiyo maana hao washtakiwa na mawakili wamejikita kwenye hiyo hoja! Hiyo ndiyo mbinu sahihi kwani walishaandika maelezo ambayo walikiri na wakaelezea mpango mzima. Wewe unafikiri ni mbinu gani ingekuwa bora zaidi?ha
hao jamaa hata mawakili wao wameshindwa kuwapa mbinu za ushindi wa hii kesi,utetezi wao umejikita kwenye kuteswa na police tu kitu ambacho hata mahakama inajua kabisa kuwa ni lazima uteswe sometimes ili useme ukweli, huwezi kuwa unatuhumiwa kesi kubwa hivyo afu interrogetors wawe wanakuhoji kwa kukubembeleza
inasemekana Chussa aliwachoma,alikua na bifu flani na sharifu miaka ya nyuma la kuzurumiana mawe,akaona ndo muda wa kuwapoteza wote pamoja na msuya,msuya kafa na sharifu ndo huyo yuko jela..chusa alimdanganya sharifu akamuue msuya afu yeye ndo akaenda kumchoma kwa police ili apotezwe..Huu mchezo walichemka sana...
Mbinu nzuri ili kudhibiti tabia ya wahalifu kujitetea kuwa waliteswa ni kuhakikisha katika kuwahoji anakuwepo mlinzi wa amani tofauti na polisiKutoa maelezo au kukiri kosa kwa sababu ya kuteswa ni kinyume cha sheria na mahakama ikithibitisha kuwa kulikuwa na mateso basi haitakubali maelezo yatumike kama ushahidi! Na ndiyo maana hao washtakiwa na mawakili wamejikita kwenye hiyo hoja! Hiyo ndiyo mbinu sahihi kwani walishaandika maelezo ambayo walikiri na wakaelezea mpango mzima. Wewe unafikiri ni mbinu gani ingekuwa bora zaidi?
Waambie hawa waropokaji wao wanafikiri upelelezi ni rahisi sana, unaweza kuwa na uhakika kabisa kuwa huyu ndio muuaji lakini akagoma kutoa ushirikiano ili kupata ushahid wa kupeleka mahakamani ndio maana mara nyingine inatumika njia mbadala.Mohammed Al-qahtani (21) wa saudia ndie binadam alieweka rekodi ya kuteswa kwa mda mrefu na mfululizo(na jesh la marekani ili ataje alipo osama) kwa njia zote za mateso gerezan na za ziada takriban njia zaid ya 23 ndani ya siku 48 bila kupumzika ndipo akakiri tena jamaa wakiwa washakata tamaa nae. hahaaaa mi nikiona tu kiboko nakiri nisiyoulizwa
Wana GT kwa yeyote mwenye kujua mwendelezo wa kesi ya mauaji ya bilionea msuya ilipofikia aje atililike, jn ktk pitapita zangu nilirusha jicho kwa abiria mwenzangu aliyeshika gazeti la mwananchi nikaona mmoja wa wauaji amekuwa acquitted so nikaja mbio jf nikitegemea wadua mtakuwa mmeshaachia thread, kumbe hamna kitu. Karibuni
Hili balaa!!!kuingiziwa spoku ya baiskeli kwenye uume