kama huna jambo muhimu la kuchangia wazo afadhali uache kuchezea maisha ya watu! (viongozi wa dini wanayo maadili ya kiroho na wana upeo mkubwa zaidi kushinda mtu wa kawaida) Sio hekima wala heshima kukashifu viongozi wa dini au kuzua jambo ambalo huna uhakika nalo. Ndugu yangu, nafikiri una...
tatizo ni kwa watanzania kuielewa katiba mpya inayoaandaliwa na wantanzania wenyewe (kama kweli inafanyika hivyo) kwa kina na kufanya yale yanayoleta maendeleo kwa nchi. Nina wasiwasi kama kweli watanzania wote wanaelewa katiba mpya inaandaliwa... kwa mfano watanzania wanaoishi vijijini...
mchakato wa kuhamia digitali ni dunia nzima, hivyo afrika mashariki ilikuwa katika harakati hizo za kuhamia digitali ifikapo 2013/14, ijapokuwa tanzania imekuwa ya kwanza. Zoezi zima la kuhamia digitali ni zuri isipokuwa uhamasishaji kwa watanzania ulikuwa mfupi mno. utafiti haukufanyika vizuri...
cha kushangaza ni kwamba kadi za nhif hazitumiki hospitali ya aga khan siku hizi, tatizo ni nini? mbona wakubwa wanapelekwa huko kwa kadi hizo hizo. ubaguzi gani huu jamani?
Pole Albert, this is a crucial time to show the true love you had with the late Nyaga Mawalla. My the almight Lord give you strength at this time of mourning.
kama mwananchi, naona nivyema mainjinia wa nhc wajiuzulu pamoja na mkurugenzi mkuu. Lakini kwa watanzania, hatuna utamaduni wa kung'atuka kwenye madaraka kama makosa yamefanyika. Hivi, kwa nini usitunze heshima yako na mapema kwa kuachia ngazi? Au unaona vitamu vitaliwa na wajanja? Hongera...
upikaji wa habari sio mzuri, it is unethical and unprofessional in any given society! Ni nani mpikaji wa habari hizi za kudanganya wananchi? Any way, In God's Name every thing will be revealed...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.