Huyu si ndiye alisema wapigwe tu.Watu wamekaa madarakani mpaka wamestaafu,wamekuwa wazee bado wanapewa vyeo vya ajabu ajabu.Wakati mwingine ni kudhalilisha cheo cha mtu.Waziri mkuu mstaafu (mzee) yupo kwenye kikosi,spika wa bunge mstaafu Anne (mzee)Mkiti Sensa ya makazi.
Hawa wasomi waliosoma...
Haya madaraka makubwa aliyopewa raisi kwenye katiba ndiyo inayompa kufanya haya bila kuzingatia maoni ya Watanzania.Ametuona wote mazuzu tu.Lakini itafika wakati tutasema sasa vatosha.Ikifikia hapo tutaelewana tu.
Vikosi kazi hivi ni ulaji na matumizi mabaya ya kodi za Watanzania.Maoni ya...
Huyo hatukumchagua sisi.Mzee alimchongea huko.Sijui mzee alimwonaje kwani hata sisi tulishangaa.Wako wengi wa aina yake,Tusubiri wanakuja kwa group tena kwa kasi.
Hivi wewe si ungeenda hata kufanya usafi wa matundu ya vyoo vya watoto wa shule ya msingi kuliko mudo uliopoteza kuandika huu uchafu.
Hujielewi.
wewe huna tofauti na wale wasiojua PGO ni kitu gani.Jinga sana.
Nadhani kitu usichokijua usikimbilie kucomment au kushare.Ni vizuri kukaa kimya kwa sababu hujui na hakuna atakayekuita mjinga.
Aliyefanyiwa ndiye anayesema, wewe unasema hakufanyiwa.Na wapo wengi Arusha na Kilimanjaro walioteswa na kunyanganywa mali zao na kutendewa vitu vya ajabu na wengine...
Kufungua daftari la Watanzania wenzetu wengi waliokimbia nchini kuhofia maisha yao na familia zao na kwenda kuishi kwa kuombaomba wakati yeye na viongozi wengine wakiongopa kuwa Tanzania kuna Amani,Demokrasia n.k Aibu sana
Usidanganye.Acha watoto waende shule.Ila tulie na waalimu.Ninajua bila mwalimu huwezi kwenda popote kwani mwalimu ndiye wa kwanza kutoa kutu kwenye akili zetu.
Nilikuwa mara nyingi sana nilikataa katu nilipoambiwa kuna wanafunzi wamejiunga kidato cha kwanza bila kujua kusoma na kuandika.Hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.