Recent content by OTTER

  1. O

    Kimenuka Ngorongoro, wananchi wamtaka Rais Samia kumtimua Dkt. Manongi

    Shida yao, wanadhani ngorongoro niya kwao, Hiyo hifadhi ni mali ya Watanzania. WAONDOKE BHANA, pia shida kubwa ya utaratibu wa ajira ndiyo unaomfanya Dr Manongi apate wapate wakati mgumu katika kutekeleza hili. Asilimia 80 ya waajira ni wazawa, sasa kila mpango au mikakati ya kiutawala...
  2. O

    Uspika wa Bunge 2022: Sababu za Kisheria na Kikatiba Dkt. Tulia kukosa sifa za kugombea

    Kwani na wewe madenge huwa unajua lolote mimi naonaga upoupo tu kama nyumbu wa serengeti amabao hufuta mkumbo au ndiyo sarakasi za ufipani
  3. O

    Chalamila: Katiba Mpya ni muhimu, Katiba ya sasa inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi

    Usitake kuleta taharuki hapa. Yeye anasema we need to reform a new national constitution, hayo mengine yako
  4. O

    Serikali iangalie matumizi ya IST, Subaru,Altezza, Vitz na usafiri unaofana na hivyo vitu. Kuna Majanga mengi

    Wewe utakuwa na vina saba vya hawa jamaa wanaoitwa nshomile hadi nebwa yashoma, nikisema Come...inakuja, nikisema go... inakwenda. Haya bhana karibu tuendelee na ugonjwa wetu wa Sizonal influenza
  5. O

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Kwani sheria/muongozo wa serikali juu ya uagizaji bidhaa mfano sukari unasemaje?. Na kitu kizito kilichompiga kichwani juu ya sukari huyo waziri unadhani kama ni wewe ungesemaje? kuendelea kula matapishi yako au kuwa mwamba kama Dr Slaa wa kutokulamba matapishi. Au bora liende watoto wangu...
  6. O

    Serikali: Wanafunzi waliopata mimba kuendelea na Masomo katika mfumo rasmi

    Hivi nyie wasenge mnaotetea huu ujinga, hivi hao mabeberu watoto wao wanaruhusiwa kusoma na vichanga madarasa ya msingi na sekondari??
  7. O

    Serikali: Wanafunzi waliopata mimba kuendelea na Masomo katika mfumo rasmi

    Kwani Mr DJ chanzo cha kesi yake nini?? achilia mbali Mbowe kuwa GAIDI?? Kwa sasa tamanio la watz ni katiba mpya. So kama mwanafunzi anaruhusiwa kupigwa mimba hii ni kwamba anaruhusiwa kutoka kwa mume wake aende darasani. Kwa mantiki hiyo aliyembebesha mimba anawajibu wa kulea mtoto wakati...
  8. O

    Serikali: Wanafunzi waliopata mimba kuendelea na Masomo katika mfumo rasmi

    Kwa hiyo wewe unashabikia mwanao asome na wamama darasa la moja la STD IV?? anamshauri nini wakiwa wote pale darasani?. Kwa hiyo umefurahia kuwa gegeda wanafunzi ukiwaelimisha kuwa mimba siyo kikwazo cha kutoendelea na masomo?? Itapendeza na upande wa pili wa mahakama wafute adhabu ya kifungo...
  9. O

    January Makamba kupiga doria mito yote kwa chopa(helicopter)

    Aisee, hili sasa nalo nikituko. Ina maana yale maagizo ya namba moja kwa wakuu wa mikoa kuhakikisha hakuna kilimo cha vinyungu kwa kila kata wamegoma kutekeleza?? Au hana kazi za kufanya?? awape muda wa wiki mbili apewe taarifa kama kuna mataikoon yamegoma kunyofoa mirija mitoni yanaendelea...
  10. O

    Rais Samia: Fedha tulizowapa ni mkopo kutoka IMF ambao utalipwa na Wananchi kupitia kodi, halafu kuna changamoto ya kupunguza Tozo!

    Ndiyo anaielewa na ndiyo maana ameitamuka kwa kutembea kifua mbele. Watanzania tusiogope madaeni hata marekani wanadaiwa
  11. O

    Wanavyofanya Musukuma na Polepole ni ushahidi wa ukomavu wa Rais Samia kisiasa

    kavulata: Wewe inawezekana unasema kinyume chake< Heri masikini mwenye afya kuliko tajiri mgonjwa)= sasa huyo masikini aliyekuwa anadamka alfajiri anapika vitumbua ili auze apate riziki ya yeye na wanae, hiyo afya atapata wapi?. Labda ungesema wakati tajiri anameng'enya chakula kwa utumbo...
  12. O

    Wakili wa Tigo adai kwao Compliance (Utii) kwa mamlaka ni kipaumbele kuliko Privacy (faragha) za Wateja

    Na bado mtakanyagana sana awamu hii, inaonyesha muuliza swali na wewe wote ni zero brain. Hujui kama iwapo kuna kiongozi fulani iwapo anatumia madaraka yake kuwanyanyasa watu kingono hawezi kuchunguzwa kwa kupitia mfumo wa mitandao? Whatsaps--picha, simba mbovu sana (SMS), voice call n.k...
  13. O

    Wakili wa Tigo adai kwao Compliance (Utii) kwa mamlaka ni kipaumbele kuliko Privacy (faragha) za Wateja

    Tatizo lako hilo genge lenu mtu akipiga chafya tuu mnaanza kurukaruka na kuganyagana, subilini siku ya majumuisho ndiyo hamtajua wakati mnajifanya mnajua, Mr DJ siyo malaika ni Gaidi Over
  14. O

    Wakili wa Tigo adai kwao Compliance (Utii) kwa mamlaka ni kipaumbele kuliko Privacy (faragha) za Wateja

    Sasa wewe, iwapo mtu na genge lake wanataka kupindua nchi, raia mwema akatoa siri na achilia mbali kampuni zikagundua kuna mpango wa kufanya vitendo viovu. Ina maana hiyo kampuni ya mawasiliano ikae kimya kisa eti wana linda siri za mteja?? kweli nyumbu mumechanganyikiwa. Mr DJ ni gaidi
  15. O

    Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na rushwa. Shauri kuendelea kesho Nov, 2, 2021

    Inaonyesha wewe ni toto la K, hata wanao ulishachapa. Mr DJ ni gaidi
Back
Top Bottom