leonaldo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 2,585
- 3,179
Kwa kuwa kanuni za bunge zinamtaja kuwa endapo spika atajiuzuru yeye anakuwa kaimu spika,hivyo basi zuio hilo linamuhusu bila chenga.Mimi naona hili suala limeangaliwa upande mmoja..Mimi naona tulia Yuko sahihi coz amegombea ndani ya chama na si bungeni..jina lake likipitishwa na kumpelekea bungeni kule atakutana na wagombea wengine hapo ndio katiba itafanya kazi..na ndio hapo ataresign...yeye kaonyesha kutaka kugombea nje ya bunge..sio ndani
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app