Not possibly boss...huo ndio uhalisia.
Security Officer ni overall in charge kumanage security issues za office ikiwemo staff security na premises.
walinzi ni part tu ya security management.
Mie nina Forester SH5 Turbo Charger ya 2010 na haijawahi nisumbua tangu niinunue mwaka jana.
Suala la kuzingatia ni service kwa wakati na kufunga genuine spare parts.
Nashauri uchukue non turbo kama una mishe za kawaida kwani turbo ni extra layer ya presha
Kiukawaida, matumizi ya dwa yoyote au vipimo vinavyohusisha MRI na Xrays huwa vinakuwa na side effects kwenye mwili na kutokupima kuna madhara zaidi kwa mgonjwa kwani huwezi jua kwa uhakika shida ipo wapi
Ila tambua kuwa potential side effects zake zinazidi umuhimu kuliko kutokupima. Kwa...
Hii sio kweli.
Nadhani Rais wa mwisho wa US kutumia Blackberry alikuwa Obama. Blackberry was very secure but that changed walipoanza kutumia android OS.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.