Recent content by othiambo

  1. othiambo

    Humphrey Polepole: "Hatuwezi kuwa nchi inaendeshwa kama idara ya 'Fire'

    tunamkaribishe aje ajiaibishe tu maana na yeye katokea hukohuko.
  2. othiambo

    Huyu Jamaa Ana Sifa Zote za Kuwa PM 2025-2030

    si wamemuandaa wenyewe lakini, maana anavyeo vigeni sana.
  3. othiambo

    DRC Congo na Rwanda Kusaini Mkataba wa amani leo

    Endeleeni tu msiwapatanishe... US na washirika wake vichwa vinapata moto wanaona bora wapumzishe kuhu ili wajipange na IRAN gharama ni kubwa.
  4. othiambo

    Je moyo wako upo salama? Fahamu kuhusu heart failure (kushindwa kwa moyo)

    shukran vipi taratibu zao si ngumu hawana gharama ya kutisha
  5. othiambo

    Je moyo wako upo salama? Fahamu kuhusu heart failure (kushindwa kwa moyo)

    shukran ila Wallah mimi nina hiii shida mwaka 2019 nilienda hospital nikaambiwa niko vizuri , cha ajabu sasa nikifanya kazi ngumu , nikikaa mda bila kunywa maji au kula nahisi mwili mchovu na moyo unapiga kwa mbali sna ..ikitokea nikayatekeleza hayo kama kupumzika kunywa maji sana ndio kama...
  6. othiambo

    Chid Benz amekua 'Pande la Mtu', tazama akitumbuiza kwenye siku ya kupambana na madawa ya Kulevya

    M/MUNGU amsimamie yeye pekee ndio anajua nini kilitokea,,dua hii namuombea na mwanangu wa kiume kwani duniani kuna waleaji na waongozaji wa wenzao sasa inategemeana unaongozwa vipi.
  7. othiambo

    Wanachama Mil 13 wa CCM anaowasema Mwenyekiti Samia ndio hawa?

    Halafu huko mpoto anaimba mama wa taifa hatumdai ila yeye anatudai sisi
  8. othiambo

    Wahariri na waandishi wa habari wasusia shughuli za CHADEMA

    tusipo zipata kwa wahadishi wa habari tutazipata kwa wambea kama kina mange na lokole...wasuse tu
  9. othiambo

    Swali kwa wanawake tu, ni kwanini mkiwa na mahusiano mengine nje/mchepuko, huwa mnawaongelea vibaya waume zenu?

    Hii ni ishara tu kua utu na Imani vimekwisha...sio wanawake wala wanaume wote tunaaanikana tu bilabkujali ni aibu na matusi makubwa
  10. othiambo

    Daisle Ulomi aliwahi kuwa askari, jeshi la polisi linapaswa kuwa na majibu

    Mi naogopa kabisa na kama ni ajali ya kawaida mbona lina wahahisha hivyo ...Haya mambo kama hayajawi kutokea usoni kwako utamtetea kila mtu ila yakikufika hutamuamini yeyote kati yao sisi mtaani tulipoteza vijana 3 kwa mpigo.
  11. othiambo

    Kumuona nabii milioni 1.5 nimechoka

    Hawa viongozi wa dini wa miongo yetu hii hawatofautian na zile kamali za barabarani unajikuta tu umeenda na hata wapo wanaoenda na hiyo mil 15 wakaiona ni sh. Kumi baadae sasa😭😭😭
Back
Top Bottom