shukran ila Wallah mimi nina hiii shida mwaka 2019 nilienda hospital nikaambiwa niko vizuri , cha ajabu sasa nikifanya kazi ngumu , nikikaa mda bila kunywa maji au kula nahisi mwili mchovu na moyo unapiga kwa mbali sna ..ikitokea nikayatekeleza hayo kama kupumzika kunywa maji sana ndio kama...
M/MUNGU amsimamie yeye pekee ndio anajua nini kilitokea,,dua hii namuombea na mwanangu wa kiume kwani duniani kuna waleaji na waongozaji wa wenzao sasa inategemeana unaongozwa vipi.
Mi naogopa kabisa na kama ni ajali ya kawaida mbona lina wahahisha hivyo ...Haya mambo kama hayajawi kutokea usoni kwako utamtetea kila mtu ila yakikufika hutamuamini yeyote kati yao sisi mtaani tulipoteza vijana 3 kwa mpigo.
Hawa viongozi wa dini wa miongo yetu hii hawatofautian na zile kamali za barabarani unajikuta tu umeenda na hata wapo wanaoenda na hiyo mil 15 wakaiona ni sh. Kumi baadae sasa😭😭😭
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.