Wasalaam wakuu, mpaka muda huu nina huzuni ya nafsi baada ya kuiona maiti ya bajaji iliyogongwa na roli la cement mzinga, njia ile wallah finyu barabara ni mbovu, vyombo vinavyopita pale ni vyenye uzito wa hali ya juu kuliko ubora wa barabara malori ni mengi maswali yamenijaa kichwani najiuliza...
Usisikie tu fuatilia kiundani maana ya Dua na kwanini watu wanamuomba M/Mungu ilhali yeye tayari Kisha panga kila kitu,...ingekua hivyo unavyomaanisha kusingekua na haja ya kwenda nyumba za ibada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.