Recent content by othiambo

  1. othiambo

    Barabara ya Kilwa kipande cha Mzinga Kongowe kinatumaliza

    Najiulizaga sana huku wanatoka viongozi wakubwa tangia awali adha ya njia hii hawaiijui kweli?
  2. othiambo

    Barabara ya Kilwa kipande cha Mzinga Kongowe kinatumaliza

    Ahsante sana,ila ile barabara ni finyu magari ni mengi hasa haya maroli ya cement na mizigo mengine ni mengi sana.
  3. othiambo

    Barabara ya Kilwa kipande cha Mzinga Kongowe kinatumaliza

    Wasalaam wakuu, mpaka muda huu nina huzuni ya nafsi baada ya kuiona maiti ya bajaji iliyogongwa na roli la cement mzinga, njia ile wallah finyu barabara ni mbovu, vyombo vinavyopita pale ni vyenye uzito wa hali ya juu kuliko ubora wa barabara malori ni mengi maswali yamenijaa kichwani najiuliza...
  4. othiambo

    Makonda kuapa kesho kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, ataondoka na msafara wa gari moja, tofauti na awali magari sabini

    Mpaka azeeke atakua kazurulishwa sana kama ni kurasa za CV itazidi ile ya Lipumba iliyotolewa gazetini
  5. othiambo

    Kilichotokea Hanang, kikitokea Mwanza itakuwaje?

    Usisikie tu fuatilia kiundani maana ya Dua na kwanini watu wanamuomba M/Mungu ilhali yeye tayari Kisha panga kila kitu,...ingekua hivyo unavyomaanisha kusingekua na haja ya kwenda nyumba za ibada
  6. othiambo

    Mtwara: Mganga Mfawidhi asimamishwa kazi kwa kuwaambia Wagonjwa yeye ana Roho Mbaya kuliko wanavyofikiri

    Ndio hapo unapoambiwa mkubwa M/Mungu pekee na muda ndio unaoongea
  7. othiambo

    Kilichotokea Hanang, kikitokea Mwanza itakuwaje?

    Mpaka umri huo ndio tuseme kweli we hujui kua M/Mungu anapokea dua za waja wake...mfano hata lile jambo la kuomba mvua hujawai skia pia?
  8. othiambo

    CHADEMA wasitisha safari kuelekea Katesh-Hanang kuwafariji wahanga wa mafuriko kutokana na vikwazo walivyowekewa

    Wakatoe ambavyo wakuu hawatoa bado nani anataka fedheha....yaan jirani alete Michele wa shughuli wewe mwenyeshughuli wakati bado hujavuna mpunga wako.
  9. othiambo

    Kilichotokea Hanang, kikitokea Mwanza itakuwaje?

    Mipango ya Mungu ni mikali hakuna Cha kujiulizauliza ni kumuomba yeye tu.
Back
Top Bottom