Wakati wa sherehe ya kuapishwa kwa Rais Donald Trump tarehe 20 Januari 2025, tukio lililomhusisha Mark Zuckerberg, Mkurugenzi Mtendaji wa Meta (zamani Facebook), lilivutia sana.
Video moja ilimuonyesha Zuckerberg akitazama kifua cha Lauren Sánchez, mchumba wa mwanzilishi wa Amazon, Jeff Bezos...
Muda mchache uliopita taarifa kubwa kwenye vyombo vya habari vyote vya Kimataifa Aljazeera, CNN na nk ni juu ya Makubaliano ya Kusitisha Mapigano kati ya Israel na Hamas.
Kufikiwa kwa makubaliano haya kumefanya wakaazi wa Gaza kushangilia na kuandamana barabarani kwa furaha na vifijo.
Israel...
Wakuu,
Mtaalan kumekuwa na story nyingi sana za watu kutekwa.Wengine wakiwa marafiki wengine ndugu na sisi wengine kusikia kutoka kwa vyombo vya habari kwamba yule au huyu katekwa au hajulikani alipo.
Katika pita pita zangu za Maisha hapa duniani niliwahi kufundishwa kanuni nyingi za kujilinda...
Jana niliona hizi taarifa nikasema nianze kuchimba kumtafuta huyu bwana…Kwanza Hakuna alot of information kumuhusu ila nikaenda sehemu ingine nikapata kuwa aliwahi kuteuliwa mwaka kama Non executive director kuiwakilisha GOT kwenye mradi wa uchumbaji madini Mahenge. CV yake wakati anateuliwa ni...
Jana niliona hizi taarifa nikasema nianze kuchimba kumtafuta huyu bwana…Kwanza Hakuna alot of information kumuhusu ila nikaenda sehemu ingine nikapata kuwa aliwahi kuteuliwa mwaka 2022 kama Non executive director kuiwakilisha GOT kwenye mradi wa uchumbaji madini Mahenge. CV yake wakati...
Mimi ushauri wangu mwambie huyo shemeji yako aache hiyo tabia la sivyo utamwambia mke wake ambaye ni mdogo wako hii itasaidia kutokuharibu trust kat yao,lakin hii n kama una nguvu ya kumfuata face to face.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.