Recent content by Ostadh Nurdini

  1. Ostadh Nurdini

    Msaada wa money transfer kutoka UK

    Asante sana maana nimeshtushwa na zile transaction number kuwa zaidi ya nane(8) ndio maana nikauliza ivyo
  2. Ostadh Nurdini

    Msaada wa money transfer kutoka UK

    Asante mkuu ..kwenye kutoa haisumbua au kuna kuwa na taratibu za kuitoa endapo huyo mtu atanitumia?
  3. Ostadh Nurdini

    Msaada wa money transfer kutoka UK

    Assalaam alleikhu ndugu zangu..Matumaini mtakuwa hamjambo na wazima wa afya, nahitaji kujuzwa kuhusiana na International Money Transfer ipi inatakiwa niweze kupokea hela kutoka M-pesa au tigopesa? Je, mtu anaweza akanitumia hela moja kwa moja kutoka U.K(GBP) moja kwa moja kwenye akaunti yangu...
  4. Ostadh Nurdini

    Nauza vitu vyangu vya ndani

    Tatizo nn mpk wauza ndugu?
  5. Ostadh Nurdini

    Je, majini na mashetani ni chanzo cha ajali?

    Wakati tunaelekea kumaliza mwaka 2016 na kuukaribisha mwaka 2017, nimeona ni vyema nikaongelea suala zima la ajali za barabarani hasa katika kipindi hiki cha sikukuu za mwisho wa mwaka. Katika uchunguzi niliofanya tangu nikiwa kijana mdogo mpaka kufikia utu uzima ni wazi kabisa baadhi ya watu...
  6. Ostadh Nurdini

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Hapana,,hakuhusiana na hilo
  7. Ostadh Nurdini

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Bikuhabari ndugu zangu, mabibi na mabwana, matumaini yangu kuwa hamjambo, kwa wale ambao sio buheri wa afya, ningependa kuwapa pole na kuwatia imani kuwa watapona na kuendelea na majukumu yao. Bila kupoteza muda ningependa kwenda moja kwa moja kwenye mada husika, baada ya kukaa kwa muda mrefu...
  8. Ostadh Nurdini

    POLE USUMBUKAE NA NGUVU ZA KIUME, TIBA YAKO IKO HAPA

    Ahlaan wassalan members wa Jf, matumaini ni wazima wa afya na mnaendelea na majukumu ya kulijenga Taifa letu. Napenda kuchukua fursa hii kumpa pole Rais wetu wa Jf, Ndg. Max Melo, katika kipindi hiki kigumu anachopitia, inshallah tuko pamoja nae na tunamuombea kwa mwenyezi Mungu amfanyie...
Back
Top Bottom