Arusha modern si goverment au? trust nina kijana wa form 3 pale mkuu..sio kama zamani siku hizii haiko fresh...hata huyu nnayemtafutia form one kamaliza pale la saba mkuu....secondary wameshuka sanaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
form mwisho ilikuwa mwisho wa mwezi uliopita mkuu...20000/=tsh yap inamchepuo wa sayansi na biashara.
Fees-2.8 hivii kwa mwaka..though form one itazidii hapo kwa ajili ya manunuziii....!
Sent using Jamii Forums mobile app
dah...Asante sana mkuu.. kati ya hayo yote sinywi wala sivutii kabisa katika maisha yangu yote...je kwa uzoefu wako wa kitabibu kunauwezekano wa kupona kweli? Thanks
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu.....je tatizo linaweza kuwa ni nini? je na kama ujanani nilipata mtoto hii inajuwaje? coz nina mtoto mmoja ambaye nilipata ujanani na nina uhakika ni wangu sababu anafanana na mimi kila kitu!
Sent using Jamii Forums mobile app
wakuu heshima yenu....naombeni tafsiri ya majibu yangu baada ya kufanya kipimo cha sperm analysis....ninampango wa kupeleka kwa daktari na shemeji yenu but nataka nijue nini maana ya haya majibu kabla ya mtu mwingine yeyote...na nini maana yake? Asanteni...
Sent using Jamii Forums mobile app
yah! hapo nimekusoma mkuu...na Isitoshe chache walizozima kwa maana zilizuiwa kusoma network baada ya siku mbili wajanja waliziwasha...so ilikuwa ka mchezo wa kuigiza hivi...Swala lingine na hiyo control ya kuingia hapo ndo mchezo ulikuwa mgumu..Kusema ukweli watu wasiwe ba wasi wasi ili zoezi...
Mkuu unazungumzia kenya gani!? Kama ni kenya ya Kenyata hakuna kitu kama hicho...Simu fake na clone zimejaa tele na zinapiga kazi kama kawa...sizungumzi siasa hapa nazungumza uzoefu...lile zoezi lilishindikaana leo zipo zinapiga mzigo kama kawa!
Tunasubiri tuone hiyo june itakuwaje, But...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.