Huyu mwanamke, Ufoo Saro anaboha, anachefua, anakifu na hafai kabisa kuongoza kipindi kama kile.. After all anaonekana bado ana matatizo ya kisaikolojia huyu, tunaweza kuwa tunamlaumu kumbe tatizo liko beyond her control. Namshauri tu iwe in Mr Menngi au bi Joyce Mhaville au whoever, please...
Tafadhali naombeni msaada,
Kwa mtu yeyote anayejua tiba ya mtu anayependa kula magodolo.Ninaye ndugu yangu mwenye tatizo hilo na imekuwa vigumu kwake kuacha kiasi kwamba inatishia uhai wake.
Hadhi yake lakini pia kumshushia heshima yake mbele ya jamii inayomzunguka.Tumefatilia tiba...
Ninachoshukuru mie japo kidogo ni kwamba at last Prof ametambua kwamba hawezi kutawaliwa na akili ndogo ya watu kama Mbowe, deals makers japo amechelewa.
Na kwa hili, still he has got a case to answer mbele ya wana Cuf kwa kukiuua chama wakati huo akikipromote Chadema.
Alipaswa ashtuke mapema...
Kuna kosa linafanywa na wengi sana kumwita CDF kma mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama. HAPANA.
Mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ni Amiri Jeshi Mkuu ambaye kwa nchi yetu ni Rais wa nchi.
CDF ni Mkuu wa majeshi ya Ulinzi tu yaani TPDF yenyewe ikihusisha Anga, majini,JKT. CDF hana controll...
Daaaa, kaka!,Samahani sana. Nasukumwa na roho ya ubinadamu walau kusema chochote kwako. Nimesoma posts zako humu ndani kuhusu vifo vya hawa marehemu, mwili umenisisimuka.
Inaonekana umeshawahi kujeruhiwa au na marehemu mwenyewe au kwa niaba yake. Nakupa pole kwa hilo.
Lakini, pamoja na yote...
Najiuliza sipati jibu hata Mie.
Hivi jana, walichokataa akina Mbowe na makelele mengi ya 'wezi waondoke' na walichokubali leo, tena kilaiiiniii, ni nini?????
Prof. Muhongo na Jaji Werema ambao ni watuhumiwa wa Escrow, ni watu wa Mara. Nimefurahishwa na style yao ya kusimamia kile wanachokiamini ; hakuna rushwa, fedha si za umma, hakuna kujiuzuru.
Hawa ni kielelezo halisi cha wanaume asilia wa Mara.
Hapana, na nasema tena Hapana.
Pamoja na kujitanabaisha kuwa wewe ni mkatoriki, ulichokiandika kinadhihirisha ukatoliki wako katika kumtumikia shetani.
Sote na hata mie nimekerwa na huu wizi ulivyotokea kwa sababu ndo chanzo cha hali ngumu ya maisha waliyonayo watanzania kwa sasa.
Hukumu...
Wana Jf, kwa wale wenye umri mkubwa kidogo mnaweza kunisaidia ni wapi ilipo mwandishi wa habari na mchambuzi ambaye miaka ya zamani kidogo, yaani mwishoni mwa miaka ya tisini na mwanzoni mwa miaka ya 2000 alimuwa akiandika na kufanya uchambuzi kwenye gazeti la Rai ambalo kwa wakati huo likuw...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.