Recent content by osokoni8148

  1. O

    Ufoo Saro na Malumbano ya hoja

    Huyu mwanamke, Ufoo Saro anaboha, anachefua, anakifu na hafai kabisa kuongoza kipindi kama kile.. After all anaonekana bado ana matatizo ya kisaikolojia huyu, tunaweza kuwa tunamlaumu kumbe tatizo liko beyond her control. Namshauri tu iwe in Mr Menngi au bi Joyce Mhaville au whoever, please...
  2. O

    Nisaidieni tiba ya ugonjwa wa mtu kula magodolo ni ipi?

    Tafadhali naombeni msaada, Kwa mtu yeyote anayejua tiba ya mtu anayependa kula magodolo.Ninaye ndugu yangu mwenye tatizo hilo na imekuwa vigumu kwake kuacha kiasi kwamba inatishia uhai wake. Hadhi yake lakini pia kumshushia heshima yake mbele ya jamii inayomzunguka.Tumefatilia tiba...
  3. O

    Kuna tofauti kati ya VISA na Pasport?

    Passport ni utambulisho wa Utaifa wako. Vissa ni kibali cha kuingia taifa unalotarajia kwenda.
  4. O

    Je, Ni wanaume wote wapo hivi?

    Acha ulimbukeni....
  5. O

    Prof. Ibrahim Lipumba atangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa CUF Taifa

    Ninachoshukuru mie japo kidogo ni kwamba at last Prof ametambua kwamba hawezi kutawaliwa na akili ndogo ya watu kama Mbowe, deals makers japo amechelewa. Na kwa hili, still he has got a case to answer mbele ya wana Cuf kwa kukiuua chama wakati huo akikipromote Chadema. Alipaswa ashtuke mapema...
  6. O

    Ufafanuzi: Je, IGP anaweza mpigia saluti CDF wa JWTZ?

    Kuna kosa linafanywa na wengi sana kumwita CDF kma mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama. HAPANA. Mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ni Amiri Jeshi Mkuu ambaye kwa nchi yetu ni Rais wa nchi. CDF ni Mkuu wa majeshi ya Ulinzi tu yaani TPDF yenyewe ikihusisha Anga, majini,JKT. CDF hana controll...
  7. O

    Abdul Rashid Dachi: Katibu tawala wa mkoa Shinyanga

    Huyu si yule Dachi mtangazaji wa Chanel Ten?
  8. O

    Mfanyabiashara Matei apata ajali na kufariki

    Daaaa, kaka!,Samahani sana. Nasukumwa na roho ya ubinadamu walau kusema chochote kwako. Nimesoma posts zako humu ndani kuhusu vifo vya hawa marehemu, mwili umenisisimuka. Inaonekana umeshawahi kujeruhiwa au na marehemu mwenyewe au kwa niaba yake. Nakupa pole kwa hilo. Lakini, pamoja na yote...
  9. O

    Kwa kauli ya Mbowe, kesho rasmi narudisha kadi ya CHADEMA mtaa wa Ufipa

    Najiuliza sipati jibu hata Mie. Hivi jana, walichokataa akina Mbowe na makelele mengi ya 'wezi waondoke' na walichokubali leo, tena kilaiiiniii, ni nini?????
  10. O

    Muhongo,Werema,Maswi walitekeleza maagizo

    Prof. Muhongo na Jaji Werema ambao ni watuhumiwa wa Escrow, ni watu wa Mara. Nimefurahishwa na style yao ya kusimamia kile wanachokiamini ; hakuna rushwa, fedha si za umma, hakuna kujiuzuru. Hawa ni kielelezo halisi cha wanaume asilia wa Mara.
  11. O

    Yaliyojiri Bungeni: Ijumaa, 28 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    Please, Arusha mambo fm inapatikana online
  12. O

    Askofu methodius kilaini unastahili kufungiwa jiwe na kutoswa baharini

    Hapana, na nasema tena Hapana. Pamoja na kujitanabaisha kuwa wewe ni mkatoriki, ulichokiandika kinadhihirisha ukatoliki wako katika kumtumikia shetani. Sote na hata mie nimekerwa na huu wizi ulivyotokea kwa sababu ndo chanzo cha hali ngumu ya maisha waliyonayo watanzania kwa sasa. Hukumu...
  13. O

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Leo Jumatano, Tarehe 26 Novemba, 2014

    Tupeni link kwa walioko nje ya nchi nao wafatilie
  14. O

    Mchambuzi Mhando wa Gazeti la Rai yuko wapi? Anajua vema asili na madhara ya IPTL

    Nadhani huyo mwandishi anaitwa Muhangwa s/o???
  15. O

    Mchambuzi Mhando wa Gazeti la Rai yuko wapi? Anajua vema asili na madhara ya IPTL

    Wana Jf, kwa wale wenye umri mkubwa kidogo mnaweza kunisaidia ni wapi ilipo mwandishi wa habari na mchambuzi ambaye miaka ya zamani kidogo, yaani mwishoni mwa miaka ya tisini na mwanzoni mwa miaka ya 2000 alimuwa akiandika na kufanya uchambuzi kwenye gazeti la Rai ambalo kwa wakati huo likuw...
Back
Top Bottom