Recent content by Osie

  1. O

    Goodluck Ole Medeye (CHADEMA) na Bi. Magdalena Sakaya (CUF) wateuliwa Uspika na Unaibu Spika UKAWA

    Elewa kwanza mada kabla ya kuchangia ndugu,Ole medeye(spika),Sakaya (naibu spika),nafac mbili tofauti hizo.
  2. O

    Tuliokwazana mtandaoni kisa kampeni sasa tuombane msamaha hapa, kampeni zimeisha tujenge nchi

    Ngoja kwanza mpaka Lowassa aapishwe,ndio tufanye hivyo.
  3. O

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Bado sana,tafuteni njia nyingine hii imekwama,haturudi nyuma mpaka tuifikie nchi ya ahadi,twende na Lowassa.
  4. O

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Tafuteni njia nyingine,ya leo imekwama,hatudanganyiki kirahisi hivyo.
  5. O

    Kutoka Jangwani: Uzinduzi wa Kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) - Agosti 29, 2015

    Mtaongea sana lakini 25 october ndio mtamfahamu nguvu ya Lowassa ikoje,kote mlifanikiwa kuchomoka lakini mwaka huu hamchomoki.
  6. O

    Edward Lowassa hukukidhi kiu ya wanawake!

    Eleweni jamani,mkutano ule Lowassa kaalikwa tu,ulikuwa unahusu wanawake wenyewe ndio maana Mama Regna ndie aliekuwa akiongea na wanawake wenzake,kina Mbowe,Mbatia,Babu Duni,Lowassa niwaalikwa tu.
  7. O

    Tafadhali Lowassa: Achana na 'active politics'; Bakia mshauri wa Taifa; furahia 80% yako

    Nawewe achana na Jamii forum haikusaidii,pumzika na umasikini wako.
  8. O

    Upinzani wamtaka Sumaye...

    Utaumwa wewe na kutangulia kabla ya Lowassa.
  9. O

    Freeman Mbowe anamiliki jumba la kifahari Dubai!

    Mtu huyo unaemzungumzia alikuwa na pesa nyingi tu kabla hata hajawa mwenyekiti,na ndio mwenyekiti pekee wa chama ambae hapokei mshahara kutoka kwenye chama,na hata baba ake enzi za uhai wake alikuwa akiikopesha serikali kipindi cha mwalimu,hvyo suala la kumiliki nyumba nje ya nchi ni kitu kidogo...
Back
Top Bottom