Mtu huyo unaemzungumzia alikuwa na pesa nyingi tu kabla hata hajawa mwenyekiti,na ndio mwenyekiti pekee wa chama ambae hapokei mshahara kutoka kwenye chama,na hata baba ake enzi za uhai wake alikuwa akiikopesha serikali kipindi cha mwalimu,hvyo suala la kumiliki nyumba nje ya nchi ni kitu kidogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.