KISA KAMA CHANGU KIASI
Mimeajiriwa tu, nikapata demu anasali balaa, muda wote yupo na Masista parokiani.
Kutokana na kule kusali kwake na tabia yake nzuri kwa inje, moyo ukaniambia huyu ndio mkewangu, basi nikaanza kumuhudumia kama wife to be. Akawa anakuka geto anafanya kazi zote kama mke lkn...
kama ni bingwa wa timing muda sahihi wa kuichomoa mimba hawez pata, ILA ukishamwaga usiingize tena, mana sperm hua zinabak kweny🍌. so it is a one touch process🤣
umedhihirisha wazi kabisa kwamba ninyi ndio mko hivyo, wazee wa kubaka katiba na democrasia, umetuonesha kwamba mambo haya yapo na yalikuwepo kitambo, na kwamba kelele za kutaka mabadiliko ni za msingi sana kwasasa.🥹
wakenya wanazungumzia freedom of speech & human right protection, wewe unazungumzia uwezo wa kijeshi na kupigana.
Ndiomana wanatutukana "watanzania ni incompetent".....std3 wa kenya ni university material Tanzania😂
Hua napanga Jumapili sifungui biashara yangu, nabaki home na familia, .....jumapili ikifika tu nawaza namna wateja wangu watakavyokua wanakuja ofisin na kukuta pamefungwa........nawaza kiasi cha mauzo nitakacho poteza, .....najikuta naenda kufungua ofisi🙆
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.