Recent content by Osei Tz

  1. Osei Tz

    Mliokuwa mkimsifu Larry Madowo wa CNN kwa Kazi nzuri ya kilichotokea Oktoba 29,2025 mbona hamumwambii aje na Suala la Mrusi 'kuwalala' Wanawake Kenya?

    Wamekulana kwa raha zao, hakuna aliekufa, sasa hapa madowo wa nini? CNN ina deal na big issues kama ile ya october 29.🙇
  2. Osei Tz

    Ukubwani kuna yule rafiki au mpenzi ambaye kamwe huwezi kuja kumsahau kwenye maisha yako hata kama maisha yatawatenganisha. Ni nani huyo

    KISA KAMA CHANGU KIASI Mimeajiriwa tu, nikapata demu anasali balaa, muda wote yupo na Masista parokiani. Kutokana na kule kusali kwake na tabia yake nzuri kwa inje, moyo ukaniambia huyu ndio mkewangu, basi nikaanza kumuhudumia kama wife to be. Akawa anakuka geto anafanya kazi zote kama mke lkn...
  3. Osei Tz

    Mwanaume akimwaga nje mwanamke anaweza kupata mimba?

    kama ni bingwa wa timing muda sahihi wa kuichomoa mimba hawez pata, ILA ukishamwaga usiingize tena, mana sperm hua zinabak kweny🍌. so it is a one touch process🤣
  4. Osei Tz

    Nitaijibu Barua Ya Kujiuzulu ya Humphrey Polepole kwa Hoja Nzito na kuonyesha Unafiki wake na wale wanaomtumia kumyumbisha Rais Samia

    umedhihirisha wazi kabisa kwamba ninyi ndio mko hivyo, wazee wa kubaka katiba na democrasia, umetuonesha kwamba mambo haya yapo na yalikuwepo kitambo, na kwamba kelele za kutaka mabadiliko ni za msingi sana kwasasa.🥹
  5. Osei Tz

    Ulijenga nyumba yako ya kwanza ukiwa na umri gani ?

    Sijajenga badooooo......
  6. Osei Tz

    Nani anawadanganya Wakenya kuwa wana Ubavu wa Kushindana 'Kijeshi' na Tanzania inayoogopeka 'Kijeshi' na 'Kiujasusi' Ukanda wa Maziwa Makuu?

    wakenya wanazungumzia freedom of speech & human right protection, wewe unazungumzia uwezo wa kijeshi na kupigana. Ndiomana wanatutukana "watanzania ni incompetent".....std3 wa kenya ni university material Tanzania😂
  7. Osei Tz

    Kwanini maisha yamekuwa kazi tu, kazi! Mbona hatuna muda wa raha?

    Hua napanga Jumapili sifungui biashara yangu, nabaki home na familia, .....jumapili ikifika tu nawaza namna wateja wangu watakavyokua wanakuja ofisin na kukuta pamefungwa........nawaza kiasi cha mauzo nitakacho poteza, .....najikuta naenda kufungua ofisi🙆
Back
Top Bottom