Mwanaume hufanya mapenzi kwa ajili ya leasure na sio love lakini mwanamke hupenda sex for love not leasure iko ivyo psychological usiniulize kwanini.
Nb. Madada poa hawapendi wanachokifanya but ni Shida za kimaisha.kwa kina zaidi Fanya research ndogo utapata jawabu.
Historia nzuri yenye kujua zama zilizopita. Big up umenipa elimu ya kihistoria nafikiri tungekua tunawasoma hawa watu kwenye somo la history shule za sekondari ingejenga uzalendo madhubuti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.