Recent content by Oscar Wissa

  1. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Nilichokisikia katika hotuba ya Askofu Sylvester Gamanywa

    Nimesikiliza hotuba ya Askofu Sylvesta Gamanywa katika kongamano la wachungaji wa Wapentekoste wa Wimbi la Mitume na Manabii na wa CAG Ninaandika haya si kama mwakilishi wa upande wowote, bali kama muumini wa kawaida, mwinjilisti na mtu anayependa kutafakari kwa kina mambo yanayohusu Kanisa. Kwa...
  2. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Huenda "Kuumbwa kwa watu" ndio sababu halisi iliyomfanya shetani amuasi Mungu

    Mtazamo wa kibiblia unaosisitiza zaidi ni huu: Shetani hakupinga Mungu kwa sababu mpango wa Mungu ulikuwa mbaya kwa mwanadamu; alipinga kwa sababu alitaka uhuru kutoka kwa utawala wa Mungu na kutafuta nafasi ambayo ni ya Mungu pekee. Kinyume chake, Biblia inaonyesha kwamba mpango wa Mungu kwa...
  3. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Siku hizi watu maarufu wana ushawishi mkubwa kuliko taasisi

    Katika miaka ya karibuni, Tanzania imeingia katika kipindi ambacho watu maarufu wana ushawishi mkubwa kuliko taasisi zilizokuwa zinajenga maadili hapo awali, kama familia, kanisa, shule na jamii. Leo hii, mtu mwenye wafuasi wengi kwenye mitandao ya kijamii anaweza kubadili namna maelfu ya...
  4. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Mashindano makali zaidi kuliko ya kombe la dunia

    Wakati mashindano ya Kombe la Dunia yanaendelea na mamilioni ya watu wakifuatilia kwa hamu kuona nani atainua kombe, nakukumbusha kwamba mashindano makali zaidi duniani hayafanyiki katika viwanja vya michezo bali ndani ya moyo wa mwanadamu. Ni mashindano kati ya mwili na roho. Mwili unatamani...
  5. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Ku-Cheat": Biblia Inakuitaje Dhambi Hii?

    HAIITWI “KU-CHEAT”… Biblia inaiita: • KUZINI “Usizini.” — Kutoka 20:14 • UASHERATI “Uikimbieni zinaa…” — 1 Wakorintho 6:18 • HIYANA KWA MWENZI WA UJANA WAKO “Bwana amekuwa shahidi kati yako na mke wa ujana wako, ambaye umemtendea kwa hiyana…” — Malaki 2:14 • KUVUNJA AGANO “Kwa sababu Mungu...
  6. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Kama mnataka mali mtaipata kwenye siasa

    Lile shairi lingekuwa linatungwa katika zama hizi, basi kichwa chake kingesema: ‘Kama mnataka mali, mtaipata kwenye siasa.’” 🖋️ Nachoka mimi
  7. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Huyu nyoka anaitwa pambe ni mpole sana

    Nyoka hata akiwa amekufa mi namuua tena 😂
  8. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania True freedom. In Christ or Freemasonry?

    Freemason wamechukua sifa zote za Yesu wamempa Shetani Wanamwita The Supreme Being The Prince of The Word The Great Architecture Wamefanya makosa makubwa Katika Biblia (Wakolosai 1:15-18) Mtume Paulo anapofafanua kuwa Yesu ni nani hasa anasema; Yeye ni Mfano wa Mungu asiyeonekana Yeye ni...
  9. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Je, Mungu anathibitishwaje kuwa yupo?

    Swali la uwepo wa Mungu ni swali la kifalsafa, kiteolojia, na kiimani zaidi kuliko kisayansi. Watu wengi huuliza: kama Mungu yupo, kwa nini asithibitishwe kwa majaribio ya kisayansi? Ili kujibu hili kwa usahihi, ni lazima kwanza kuelewa mipaka ya sayansi na asili ya Mungu. ASILI YA SAYANSI NA...
  10. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Mbowe angekuwa ndiye Mwenyekiti wa CHADEMA, hakuna mwanachama wake angepoteza maisha Oktoba

    Ila watu wa chama dola Walimponda sana Mbowe wakasema CHADEMA ni chama cha Mbowe sio cha watu. Leo eti wanamsifia. Dah ila siasa si hasa.
  11. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Ukizaliwa mara moja, utakufa mara mbili; lakini ukizaliwa mara mbili, utakufa mara moja

    Wazo hili linaeleza kwa undani tofauti kati ya kuzaliwa kwa mwili na kuzaliwa kwa roho. Ni kauli yenye uzito wa kiinjili, inayotuonesha kwamba safari ya mwanadamu haikamiliki kwa tukio la kuzaliwa kutoka tumboni mwa mama yake tu. Kuna kuzaliwa kwa pili—kuzaliwa kiroho—ambako ndiko kunaleta...
  12. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Uhusiano kati yako na mwalimu wako/mnasihi wako/kiongozi wako/meneja wako

    INAMAANISHA NINI KUSEMA MWANAFUNZI HAWI MKUU KULIKO MWALIMU WAKE? Kauli ya “mwanafunzi hawi mkuu kuliko mwalimu wake” ina asili ya Biblia (Mathayo 10:24; Luka 6:40) na ina maana pana katika muktadha wa elimu, maadili, na uongozi. Hapa chini kuna hoja 6 nilizoona kwamba zinazoeleza maana na...
  13. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Kwa wanaowafariji wafiwa haya ndio mambo ambayo hutakiwi kumwambia mtu akiwa amefiwa

    1. “Usilie… kuwa mwenye nguvu.” Sababu kwa nini haifai: Kumlazimisha mtu asilie kunazuia mchakato wa asili wa kuomboleza. Huzuni ni sehemu ya uponyaji, na kuizuia huongeza maumivu ya ndani. 2. “Mungu amemchukua kwa sababu fulani…” Sababu kwa nini haifai: Hukosa huruma na humfanya mtu...
  14. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Wahenga Wafikiri Upya Kuhusu Malezi

    Katika kizazi hiki cha Generation Z na Alpha, Mtoto anaweza kutangulia kuona jua kuliko mzazi, kupitia AI, Coding, Robotics, Media Literacy, Digital ethics, Financial literacy. Wahenga wamepigwa na butwaa.
  15. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni mfanyabiashara hii mikoa bila ndumba hutoboi

    Ukiwa na Yesu popote unatoboa Dawa ni kuokoka
Back
Top Bottom