Recent content by Oscar Wissa

  1. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Ku-Cheat": Biblia Inakuitaje Dhambi Hii?

    HAIITWI “KU-CHEAT”… Biblia inaiita: • KUZINI “Usizini.” — Kutoka 20:14 • UASHERATI “Uikimbieni zinaa…” — 1 Wakorintho 6:18 • HIYANA KWA MWENZI WA UJANA WAKO “Bwana amekuwa shahidi kati yako na mke wa ujana wako, ambaye umemtendea kwa hiyana…” — Malaki 2:14 • KUVUNJA AGANO “Kwa sababu Mungu...
  2. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Kama mnataka mali mtaipata kwenye siasa

    Lile shairi lingekuwa linatungwa katika zama hizi, basi kichwa chake kingesema: ‘Kama mnataka mali, mtaipata kwenye siasa.’” 🖋️ Nachoka mimi
  3. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Huyu nyoka anaitwa pambe ni mpole sana

    Nyoka hata akiwa amekufa mi namuua tena 😂
  4. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania True freedom. In Christ or Freemasonry?

    Freemason wamechukua sifa zote za Yesu wamempa Shetani Wanamwita The Supreme Being The Prince of The Word The Great Architecture Wamefanya makosa makubwa Katika Biblia (Wakolosai 1:15-18) Mtume Paulo anapofafanua kuwa Yesu ni nani hasa anasema; Yeye ni Mfano wa Mungu asiyeonekana Yeye ni...
  5. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Je, Mungu anathibitishwaje kuwa yupo?

    Swali la uwepo wa Mungu ni swali la kifalsafa, kiteolojia, na kiimani zaidi kuliko kisayansi. Watu wengi huuliza: kama Mungu yupo, kwa nini asithibitishwe kwa majaribio ya kisayansi? Ili kujibu hili kwa usahihi, ni lazima kwanza kuelewa mipaka ya sayansi na asili ya Mungu. ASILI YA SAYANSI NA...
  6. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Mbowe angekuwa ndiye Mwenyekiti wa CHADEMA, hakuna mwanachama wake angepoteza maisha Oktoba

    Ila watu wa chama dola Walimponda sana Mbowe wakasema CHADEMA ni chama cha Mbowe sio cha watu. Leo eti wanamsifia. Dah ila siasa si hasa.
  7. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Ukizaliwa mara moja, utakufa mara mbili; lakini ukizaliwa mara mbili, utakufa mara moja

    Wazo hili linaeleza kwa undani tofauti kati ya kuzaliwa kwa mwili na kuzaliwa kwa roho. Ni kauli yenye uzito wa kiinjili, inayotuonesha kwamba safari ya mwanadamu haikamiliki kwa tukio la kuzaliwa kutoka tumboni mwa mama yake tu. Kuna kuzaliwa kwa pili—kuzaliwa kiroho—ambako ndiko kunaleta...
  8. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Uhusiano kati yako na mwalimu wako/mnasihi wako/kiongozi wako/meneja wako

    INAMAANISHA NINI KUSEMA MWANAFUNZI HAWI MKUU KULIKO MWALIMU WAKE? Kauli ya “mwanafunzi hawi mkuu kuliko mwalimu wake” ina asili ya Biblia (Mathayo 10:24; Luka 6:40) na ina maana pana katika muktadha wa elimu, maadili, na uongozi. Hapa chini kuna hoja 6 nilizoona kwamba zinazoeleza maana na...
  9. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Kwa wanaowafariji wafiwa haya ndio mambo ambayo hutakiwi kumwambia mtu akiwa amefiwa

    1. “Usilie… kuwa mwenye nguvu.” Sababu kwa nini haifai: Kumlazimisha mtu asilie kunazuia mchakato wa asili wa kuomboleza. Huzuni ni sehemu ya uponyaji, na kuizuia huongeza maumivu ya ndani. 2. “Mungu amemchukua kwa sababu fulani…” Sababu kwa nini haifai: Hukosa huruma na humfanya mtu...
  10. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Wahenga Wafikiri Upya Kuhusu Malezi

    Katika kizazi hiki cha Generation Z na Alpha, Mtoto anaweza kutangulia kuona jua kuliko mzazi, kupitia AI, Coding, Robotics, Media Literacy, Digital ethics, Financial literacy. Wahenga wamepigwa na butwaa.
  11. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni mfanyabiashara hii mikoa bila ndumba hutoboi

    Ukiwa na Yesu popote unatoboa Dawa ni kuokoka
  12. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Maana ya Maneno Rhema na Logos na Tofauti yake

    Logos: Katika falsafa na theolojia: "Logos" ni neno la Kigiriki ambalo lina maana nyingi, lakini kwa kawaida linamaanisha "neno," "akili," au "mantiki." Katika Biblia: Inatumika kuelezea Yesu Kristo kama "Neno la Mungu" ambaye alikuwapo kabla ya ulimwengu wote. Yohana 1:1 Rema: Katika...
  13. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya Kupata Maarifa ya Chochote Unachotaka Kujua

    Katika ulimwengu wa sasa unaokua kwa kasi sana kiteknolojia na kijamii, maarifa ni hazina muhimu inayoweza kukusaidia kufikia malengo yako na kuboresha maisha yako. Lakini swali ni: Unawezaje kupata maarifa kwa ufanisi kuhusu jambo lolote unalotaka kujua? Hapa chini, tutaangalia njia mbalimbali...
  14. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania Umuhimu wa kutimiza ahadi

    Ahadi ni kiapo au neno la kutimiza jambo fulani lililoahidiwa. Katika mtazamo wa kibiblia, kutimiza ahadi ni kiini cha uadilifu na uaminifu, na mara nyingi huonekana kama kipimo cha tabia ya mtu. Mungu mwenyewe ni mfano mkuu wa kutimiza ahadi; ahadi zake ni thabiti na haziwezi kubadilishwa, kwa...
  15. Oscar Wissa

    JamiiForums Tanzania SIO LAZIMA UELEWE SANA, AMINI TU!

    Joshua aliomba Mungu asimamishe jua, ingawa hakuwa na uelewa wa kisayansi kwamba ni dunia inayozunguka, siyo jua. Lakini pamoja na ufinyu wa uelewa wake, Mungu alijibu ombi lake, na usiku haukuingia hadi vita ilipoisha. Mungu alisimamisha dunia kwa muda ili kutimiza ahadi yake. Hii ni nguvu ya...
Back
Top Bottom