M
Majuzi mafundi walicancel abs kwenye gari yang hali iliyopelekea nikapata ajali na gari kuanguka kabisa sabab kuna mda nilifunga brake ya ghafla gari ikageuka ilikotoka je ABS inaweza kwel sababisha madhara kiasi hicho
Wadau habarini,
Wiki ijayo nategemea kufunga ndoa huko Mtwara, sasa nishaurini ni zawadi gani nzuri ya kuwapa wazazi wangu? Na je, kama ni mistari ya biblia, ni mstari gani mzuri unaohusu wazazi?
JWTZ ndo jeshi pekee ambalo sio paramilitary sababu wana kila sheria inawaruhusu matumizi ya silaha za aina zote sasa nenda kwenye sheria ya polisi uone kama wameruhusu kutumia RPG, Arm Grenade na Vifaru
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.