Recent content by OSBON

  1. O

    JamiiForums Tanzania Wahouth wateka nyara wafanyakazi 11 wa UN baada ya shambulio la Israel huko Sana’a

    hyo inajulikana mashirika mengi ya umoja wa mataifa wamejaa majasusi wa west hata iran alilishutumu shirika la nguvu za atomic kwa issue km hzo kutumika
  2. O

    JamiiForums Tanzania AMKENI! AMKENI!: Operation Komboa Venrezuela Imeanza

    Kwahyo ww ukishakuwa pro west au pro chinese hauwezi tena kutumia akili yako yaani unakuwa ww kazi yako ni ku support tu hata km unaona hapa sio sawa
  3. O

    JamiiForums Tanzania Habari zenu naomba kuuliza mwenye uzoefu na interview katika post ya assistant trade officer anipe muongozo notice za kusoma

    Samahani great thinker shida yangu nikujua muongozo vitu vya kusoma kwa anaeenda interview ya post ya assistant trade ooficer
  4. O

    JamiiForums Tanzania KERO Shirika la Uwakala Wa Meli Tanzania (TASAC) kutangaza ajira mpya bila ya kuwarudisha baadhi ya waliokuwa wafanyakazi wake sio sawa

    Mngekuwa mmepelekwa kwenye maslahi makubwa zaidi halafu Tasac wangetaka kuwarudisha pia mngelalamika mnasumbuliwa hila kwakuwa huko mnaona maslahi madogo sasa hv mnaona mnaonewa hamrudishwi
  5. O

    JamiiForums Tanzania Wakuu natafuta kazi ya kutengeneza platform, website, app, au graphic nitaanza kwa kujitolea

    UPO MKOA GANI NNAHITAJI KUFUNDISHWA GRAPHICS
  6. O

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano mkubwa Iran atatandikwa tena bila huruma na Israel

    Kwani hao mossad si ndio walimwanbia netanyahau iran amebaki na makombora elf 2 wakamfanya mpk kaanzisha vita kwa kujua iran hana silaha za kutosha matokeo yake kaomba ceasefire kupitia mume wake USA baada kugundua kapewa taarifa za uongo maana makombora yanagonga tel aviv km mvua na hayana...
  7. O

    JamiiForums Tanzania Putin -Double ndiye ameonana na Trump?

    Putin anajua lugha nyingi hila hataki kuongea hata english anaijua vizuri tu hila anataka kuongea tu lugha yake nnakumbuka kuna siku mkalimani alitafsiri kutoka ki russia alivyo translate to english puttin akamwambia mkalimani hakumaanisha hvyo inamaana anafanya kusudi
  8. O

    JamiiForums Tanzania Kwanini katazo la wafanyabiashara wa kigeni limekuwa mwiba mchungu kwa Kenya?

    Huko kenya kuna mitaa wamejaa wachaga tu hii na kwengine wapemba kibao usifikiri wataadhirika wakenya tu hata ndugu zetu wakitimuliwa huko nao watalia
  9. O

    JamiiForums Tanzania Marekani na Israel kuishambulia Iran punde

    hata siku moja hutomsikia muislam anamtukana jesus
  10. O

    JamiiForums Tanzania Vijana tumejiandaa vipi na fursa zinazotokana na wafanyabiashara wa kigeni waliozuiwa kufanya biashara nchini?

    Sasa ww unaweza ku compete na mchina ?hicho ndio walichokuwa wanalalamika wafanyabiashara mfanyabiashara wa kichina anatakiwa akija tanzania km bidhaa auze jumla sio na yy afungue duka la rejareja
  11. O

    JamiiForums Tanzania Vijana tumejiandaa vipi na fursa zinazotokana na wafanyabiashara wa kigeni waliozuiwa kufanya biashara nchini?

    sawa hzo hzo ndogo tuzichangamkie km huo usafirishaji wa mazao walikuwa wanakuja kununua mashambani sasa hv haitakiwi kwahyo tufanye sisi hyo biashara tununue mashambani tusafirishe
  12. O

    JamiiForums Tanzania Vijana tumejiandaa vipi na fursa zinazotokana na wafanyabiashara wa kigeni waliozuiwa kufanya biashara nchini?

    wachina sidhani km wamekatazwa kufanya biashara kinachokatazwa ni mpk viduka vya rejareja mtaani na hapo kwenye bei ndio wafanyabiashara wetu wana fail wanapenda faida kubwa sn wanatamaa
  13. O

    JamiiForums Tanzania Vijana tumejiandaa vipi na fursa zinazotokana na wafanyabiashara wa kigeni waliozuiwa kufanya biashara nchini?

    Katika taarifa inayoenea mtandaoni wizara ya viwanda na biashara imepga marufuku baadhi ya biashara kufanywa na wageni, Je sisi km vijana wa kitanzania tumejiandaa vp kuziba nafasi hzo au sisi kazi yetu kulalamika tu
  14. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Humu tunaandika Uzi wa kutafuta wanawake wa kuoa kwa lengo la dhati kabisa lakini utakuta Uzi wote umejaa wanaume tupu au ndo mmomonyoko wa maadili?

    Mke au mume anapatikana kokote iwe msibani,harusini,msikitini au kanisani wengine mpk masokoni
Back
Top Bottom