Recent content by osalwenye

  1. O

    Bw.Tundu Lissu siyo Intelligent!

    "Problem cannot be solved by the same level of thinking which created them".Albert Einsten
  2. O

    Jaji Warioba: Kuteswa ka Kibanda kulipangwa

    Kama upelelezi wetu ni wa jinsi hii...basi kazi tunayo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:shut-mouth:
  3. O

    Ndalichako kutemwa Baraza la Mitihani ili kumwokoa Shukuru Kawambwa

    Mzee mmoja aliwahi kuniambia kuwa tatizo letu Tanzania ni. "Kuhukumu matokeo badala ya kutafuta chanzo"
  4. O

    Linganisha-form four exam results

    Wakuu hata Islamic knowledge kwa haraka haraka...maksi za juu ni C. Elimu ni elimu tu....hata ya Imani inatakiwa mtu mwenye uwezo. Mimi nafikiri sasa tatizo linakuwa kubwa zaidi...unapojenga mazingira ya kutaka kusaidiwa badala ya kujisaidia mambo ndi yanakuwa hivi....Ndugu zangu wa Imani...
  5. O

    BBC: Rais Kikwete aruhusu Majasusi kutoka nje kuja kuchunguza mauwaji ya Viongozi wa Dini Zanzibar

    Tuangalie isije ikawa makachero kutoka nje ikawa magaidi kutoka nje?
  6. O

    Kwa matokeo haya ya kidato cha nne Kawambwa anasubiri nini ofisini?

    Haya balaa jingine tena....yale ya Mzee Laigwanani wa Monduli......"BOMU". Lakini wakuu mbona nikifanya mahesabu sipati asilimia 100? Idadi ya waliofanya mtihani kidato cha 4 2012 480,036 Division I 1,641 0.341849361 Division II 6,453 1.344274179 Division III 15,426 3.213508987...
  7. O

    Kwa matokeo haya ya kidato cha nne Kawambwa anasubiri nini ofisini?

    Haya balaa jingine tena....yale ya Mzee Laigwanani wa Monduli......"BOMU". Lakini wakuu mbona nikifanya mahesabu sipati asilimia 100? Idadi ya waliofanya mtihani kidato cha 4 2012 480,036 Division I 1,641 0.341849361 Division II 6,453...
  8. O

    Mwanakijiji, huu ni UDINI pia...

    Kwa kuwa watu hawaweki utambulisho wao halisi humu....yaweza kuwa ni wale wale wa imani ileile wanawajaza hasira wakristu kupitia kwa viongozi wao wa dini........Hapa viongozi wa dini kuweni na hekima. Kama kiongozi wa dini mojawapo kasema hadharani kuwa watawachinja viongozi wa dini...
  9. O

    Gazeti la 'HabariLeo' lina ajenda gani katika Mgogoro wa KKKT?

    Kwa habari zilizopo mtandaoni..... Katibu wa Diocese anasema deni ni Bil 1. Wafanya biashara 17 wa Arusha wamechanga 1.7 Bil. Imeanzishwa kampuni ya kibiashara ya ALUICO kama mdhamini wa mali hizo na wanahisa ni wafanyabiashara. Barua ya kiaskofu inataka waumini 600,000 kila mmoja achangie...
  10. O

    Mbunge wa Kilwa Kaskazini Awaumbua Wanaoshabikia Maandamano ya Gesi Asilia

    Wanauchumi wa vyuo vikuu na benki kuu; Tuelimisheni(Wekeni mada humu) za gharama ya kujenga bomba mpaka Dar na kuweka Gas Turbines pale Mtwara na kuausafirisha umeme kwenye Grid ya taifa. Jamani wasomi tupeni takwimu za kuhalalisha hili linalofanyika sasa. Lazima kuna andiko la biashara la huu...
  11. O

    Kuwatumia wataalamu wa kitanzania walioko ughaibuni (diaspora) na ndani ya nchi kujenga uwezo na ufa

    Not only the mention sector's. For true development of this nation a program of accommodating all sector should be prepared.
  12. O

    Mbunge Murji aungana na wananchi kutetea gesi kubaki Mtwara

    Kwa nini zinajengwa "export processing zones"?....kwa nini isijengwe mtwara kama hiyo?...na kwa nini umeme usizalishwe Mtwara kwa kutumia gesi na usafirishwe kwenda Dar na maeneo mengine?
  13. O

    What did Yvonne Chakachaka meant when she broke the protocol on GAVI forum opening at state house!

    I was watching the opening of GAVI Forum on TBC yesterday on TBC. I was astonished when Yvonne broke the protocol and called His Excellency the President Dr Jakaya Kiwete, Graca Mashel and Dr Hussein Mwinyi and gave them each a CD to watch. I don't know the content of the CD and why she handed...
  14. O

    TANESCO yaisamehe Zanzibar deni la bilioni 50/-

    Hili halihusiani na Muungano?...Kwa kweli Tanganyika inannyonywa..Nini MAONO yetu jamani WATANGANYIKA?
Back
Top Bottom