Recent content by Osaka

  1. Osaka

    JamiiForums Tanzania Mzee Benjamin Mkapa asherekea siku yake ya kuzaliwa kwa kuzindua kitabu chake cha 'My Life, My Purpose'

    Ndiyo maana amesema kuwa mengine ni magumu kuyaongea, kwamba sisi ni binadamu tunakosea.
  2. Osaka

    JamiiForums Tanzania Bungeni: Waziri Mpango asema Serikali imetenga bajeti 2017/18 kufufua kiwanda cha General Tyre

    Eneo la chakula, makadirio yalikuwa 8% bahati mbaya utelekelezaji umefikia 3.7% tu!
  3. Osaka

    JamiiForums Tanzania Shukrani kwenu wote kwa kunifariji baada ya kufiwa na mtoto kwenye ajali ya Lucky Vincent

    Pole sana Paka Jimmy. Mwenyezi Mungu aendelee kukupa uvumilivu!
  4. Osaka

    JamiiForums Tanzania Utafiti: Wilaya zinazoongoza kutoa madokta(PhD) na maprofesa Tanzania

    Kuwa profesa siyo conclusive evidence ya kwamba una uwezo wa ku solve matatizo yako au ya wilaya unayotoka. Yupo mama mmoja tunafahamiana ambaye mme wake alikuwa Waziri miaka ya nyuma kidogo kipindi cha Mwl Nyerere; huyu mama anakiri kuwa Uprofesa wa mme wake haukuwa na maana yoyote kwake...
  5. Osaka

    JamiiForums Tanzania Wayahudi na umilikaji wa media nyingi duniani - Kunani nyuma yake?

    Kiranga, wewe binafsi umeanzisha jamii ngapi za watu walio mahiri?
  6. Osaka

    JamiiForums Tanzania Wayahudi na umilikaji wa media nyingi duniani - Kunani nyuma yake?

    Facebook, HBO, Paramount Pictures, Google, The Washington Post, WhatsApp, The New York Times, Dell Inc. CNN, AOL Time Warner, The Walt Disney, ABC, NBC, CBS, Universal Studios, ESPN, FOX Films, MTV ...
  7. Osaka

    JamiiForums Tanzania Wayahudi na umilikaji wa media nyingi duniani - Kunani nyuma yake?

    Hiyo documentary bado hujapata mkuu?
  8. Osaka

    JamiiForums Tanzania Je! Mungu ni yule yule?

    Unaweza thibitisha kuwa hizo hadithi zimetungwa na watu?
  9. Osaka

    JamiiForums Tanzania Prof Euphrase Kezilahabi: Mwanazuoni anayehitajika kwenye ujenzi wa taifa hili

    Kitabu kizuri hiki. Kwamba maisha yanayoendelea hapa duniani ni sawa na vurugu tu. Characters, akina Tumaini, John, Anastasia, Dennis n.k.
  10. Osaka

    JamiiForums Tanzania Kikwete amuondoa rasmi Dr. Ndalichako NECTA, amteua Dr. Msonde

    Labda Mohammed Said, anayo majibu.
  11. Osaka

    JamiiForums Tanzania Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu

    Maryborne, ukiwa mdanganyifu, jitahidi kutunza kumbukumbu; hapa Nina refer mama yako mkristo Mwenye msimamo mkali sana akiwa Idara nyeti kule wizara ya elimu.
  12. Osaka

    JamiiForums Tanzania Nimehudu TANESCO miaka nane bila kuajiriwa

    Vibarua (STE) kwa kawaida hufanya kazi kwa mkataba maalumu; sasa hiyo ajira unayong'ang'ani ni Ipi? Umemaliza chuo kikuu alafu unachimba mashimo?
  13. Osaka

    JamiiForums Tanzania Namtafuta baba yangu anaitwa Gerson Jacob Kasanga

    Poa sana mkuu!
Back
Top Bottom