ndugu yangu sidhan kama upo sahihi sana kusema kwamba watu wengi walioudhuria jana ni kwamba wanamkubali pinda la hasha jibu ni kwamba pinda ni kiongoz wa selikar na wananch wengi walikuwa na shauku ya kujua hasa ni nin selikar inaenda kuzungumzia dosali nying wananch walizokutana nazo tar 23...
Aisee ingekuwa vizur ma afisa wa tamisemi wangeamka na kutolea ufafanuzi hili swala,
Kwanini twende kama vipofu walimu wanaitaji kujianda kwani kama wanafanya ujasiliamal waweze kupanga vizur mambo.
mi mwenyewe ni shuhuda kwa yaliyotokea kwani nimefika kituon sa tatu asubih mpaka sa nane sijapata uduma yeyote mwishon tukaambiwa tuandike majina ili tuwahi asubuh ya kesho kwan mashne hazifanyi kazi jaman kwa stail hii kweli tutafanikiwa mh sa anakuja kuzindua nn?from mk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.