Recent content by Opyempye Nchee

  1. O

    DW: Rais Magufuli ni dikteta mpya Afrika? Yauliza kama bado kuna mtu ana ushabiki nae

    Bbc wanawashwa washwa ndimini, mbona hawamvai Trump? Nonsense & idiotic
  2. O

    NAOMBA KWA MH RAIS JUU YA MADEREVA NGAZI YA DARASA LA SABA

    Wazo zuri ktk kuendeleza nadharia ya Hapa Kazi
  3. O

    Tetesi: Nyalandu hagombei ubunge!

    Muhimu MTU hasijitoe katikati ya Mchezo
  4. O

    Wagombea 17 wajitokeza kuwania Jimbo la Nyalandu Singida Kaskazini

    Sanduku la kura ndio hakimu wa haki
  5. O

    Mkutano wa UWT-Dodoma: Mama Anna Mghwira ahamia rasmi Chama cha Mapinduzi(CCM)

    Mawazo huru ya Mtu ndio democrasia yenyewe
  6. O

    Morogoro: Wabunge wa CHADEMA warudishwa rumande, hakimu anaumwa!

    Kila mchuma janga hula na wakwao
  7. O

    Morogoro: Wabunge wa CHADEMA warudishwa rumande, hakimu anaumwa!

    Pole hakimu kwa kuumwa, inabidi upate mapumziko ya kutosha ktk kurecover
  8. O

    Ukimya wa Lowassa kwa haya yaliyotokea uchaguzi mdogo wa Udiwani ni maana yake?

    Lowasa hana cha kupoteza yy anawachora tu kisha anawang'ong'a kwenye blangeti yy na Rergina
  9. O

    CHADEMA Kinondoni: Hatuna hofu na Maulid Mtulia(CUF) kuhamia CCM, tupo imara tunasubiri kutangazwa siku ya Uchaguzi

    Wameshindwa Operation Ondoa Msaliti Buguruni(OMB) Leo wataweza kumzuia Lipumba kuweka Mgombea wa ubunge?, kwa kauli hizi za Viongozi wa Chadema inaonyesha upinzani ni Cheap & simple kwa manunuzi
  10. O

    Watanzania wote tulaani na tukatae mkakati huu wa kuturudisha kwenye mfumo wa chama kimoja

    Vyama vya upinzani Tz havina tofauti na Bendi za Taarabu, Unafiki, Kejeri, Majungu, Malalamiko na myemko kwa ufupi having dira wala agenda vinasubili matukio na nani kasema nini na sisi tujibu nini kama mipasho. Hakika kama nadharia ya democrasia ndio hii chini ya Vyama Vingi(Multiparty) bora...
  11. O

    Mbunge wa Arusha mjini Godbless J Lema amejibu tweet ya Rais Magufuli

    Msimuelewe vibaya Mh. Lema tatizo Bangiri ndo Chanzo
  12. O

    CHADEMA hali si shwari

    Tz hatuna upinzani tuna genge
  13. O

    Lema na wenzie ndio watakaoiua CHADEMA

    Ushauri wa Lema unafuka Moshi wa Bangiri, na Ushauri anaopewa Mh.Mbowe unanuka Moshi wa Bangiri Wanachama na Viongozi waandamizi wa Chadema wamelewa Moshi wa Bangiri , chezea cha Arusha ww utararuka
Back
Top Bottom