CHADEMA hali si shwari

CHADEMA hali si shwari

Ni kama wamarekani waliodhani ukimuua osama,sadam na wengineo basi kuna harakati zimekufa,issue hapa ni mioyo ya watu,hata ukitangaza vyama vingi vimefutwa bado wapinzani watakuwepo tu,mbona enzi za nyerere pamoja na kufosi chama kimoja wapinzani walikuwepo
Jesus christ,hayo mabilioni ya kununua kina mtulia kachimbeni visima vya maji jamani, only way ya kuua upinzani ni kurahisisha maisha ya wananchi,hapo mtapendwa sana
Mbona wakati JPM anaingia madarakani the first few weeks nchi nzima ilikuw ina rally nyuma yake hadi kina mbowe wakawa wanakosa la kuongea?haya maguvu na kununua individuals ni kujidanganya,upinzani sio mbowe,mnyika,slaa au mtulia
Ideology waliyoiingiza vichwani mwa watu inatakiwa itolewe kwa kurahisisha maisha yao otherwise yanayofanyika sasa hivi ni sawa na kuingiza middle finger kwenye masaburi na kujinusa mwenyewe huku harufu yako ya huko mboleani ikikusisimua
 
Viongozi wa chama hicho wanajitahidi sana kulipamba sanduku la marehemu/Jeneza kwa nje lakini ukweli wa mambo ni kuwa ndani kuna maiti, ambayo imepigwa dawa na ganzi ili isitoe harufu. baada ya muda mfupi mwili huu usipozikwa harufu itawaumbua kwa waombolezaji endapo hawatafanyia kazi ukweli huu mchungu.

Hivi karibuni wanachama waandamizi wa CHADEMA akiwemo mwenyekiti wa BAVICHA wamehamia CCM, wanachama waandamizi wa vyama vingine ikiwemo wabunge wanahamia CCM kwa kasi ya kutisha. ni wakati muafaka sasa kwa vyama vya upinzani hasa CHADEMA ambacho ni cha kikuu cha upinzani kujitafuta/kujisachi/kujipangusapangusa....hali ya mambo sio nzuri sana huko chumbani. amkeni haraka..........hizi taarifa za Mnyika kukihama CHADEMA SIO ZA KUPUUZWA. ZIFANYIENI KAZI. ATASAJILIWA NA TIMU PINZANI SIO MUDA MREFU.

Kwani hii series ipo episode ya ngapi?
 
Viongozi wa chama hicho wanajitahidi sana kulipamba sanduku la marehemu/Jeneza kwa nje lakini ukweli wa mambo ni kuwa ndani kuna maiti, ambayo imepigwa dawa na ganzi ili isitoe harufu. baada ya muda mfupi mwili huu usipozikwa harufu itawaumbua kwa waombolezaji endapo hawatafanyia kazi ukweli huu mchungu.

Hivi karibuni wanachama waandamizi wa CHADEMA akiwemo mwenyekiti wa BAVICHA wamehamia CCM, wanachama waandamizi wa vyama vingine ikiwemo wabunge wanahamia CCM kwa kasi ya kutisha. ni wakati muafaka sasa kwa vyama vya upinzani hasa CHADEMA ambacho ni cha kikuu cha upinzani kujitafuta/kujisachi/kujipangusapangusa....hali ya mambo sio nzuri sana huko chumbani. amkeni haraka..........hizi taarifa za Mnyika kukihama CHADEMA SIO ZA KUPUUZWA. ZIFANYIENI KAZI. ATASAJILIWA NA TIMU PINZANI SIO MUDA MREFU.
Mnayaona ya CDM tu, kwani huko CCM kuko shwari?? Poleni CCM na endeleeni kujipa moyo, ila ukweli wenyewe CCM ilishabomoka kitambo.
 
Tena upinzani ukifa maisha bora kwa kila mtanzania, na Tanzania ya viwanda vitapatikana kwa haraka.
 
Ndugu yangu fikiri kabla ya kuandika nadhani hujazunguka na hata CHADEMA yenyewe hujaijua kabisa unaongea bila kuifanyia kazi.

Yeyote anayeshabikia CCM sasa hivi ni yule anayenufaika binafsi. Si chama kinachotetea maslahi ya watanzania kwa ujumla. Mbaya zaidi CCM ya sasa inaeneza chuki ns fitins dhidi ya wale wasiokuwa CCM. Kama wewe si CCM unaonekana ni msaliti na mwenyekiti wao ameisha sema msaliti hawezi ku survive.
Utawala wa CCM unajitahidi kuua demokrasia, uko wapi uhuru wa vyombo vya habari, ukowapi uhuru wa kujieleza! magazeti chokonozi yote yamefungiwa, hakuna kuonyeshwa kinachoendelea bungeni na sasa wameanza kutoa rushwa ya vyeo kwa wapinzani wakali ila hapa nina wasiwasi kama watafanikiwa kwa sababu Lipumba ameisha anzo kuonyesha wivu kwa Slaa kupewa ubalozi badala yake.
Wakati ukuta, ukigombana nao utaumia mwenyewe, miaka minane iliyobaki kwa CCm ya sasa kuwa madarakani si mingi na nina mashaka kama watakuwa watimiza ahadi zao kwa asilimia kumi.
Viwanda viko wapi? Viwanda bila umeme, tunashndwa umeme wa barabarani na nyumbani tutaweza wa viwanda?
Jiangalieni CCM msikimbie kivuli chenu, juzi kijana wa chuo kikuu DSM ka post picha inayoonyesha nyufa kwenye zile hostel alizo zindua rais kwa mbwembwe (siku ile tulipokuwa tunawaaga askari waliouawa Kibiti) akijinasibu kuokoa pesa zisiliwe na makandarasi binafsi na kuwapa TBA tenda. Matokeo ya kupingana na specification za ma injinia wa majengo ndo hayo. Na mengi bado, tunasubiri tupigwe sindano nyingine ya Xpen kutoka kwa hayo makanikia tuliyozuia.
 
Habari wanabodi nimesikia kuwa makamanda wamekuwa sio makamanda ile zama za peoples power zimekwenda na maji zile zama za nguvu ya umma zimeshakiswa zile zama za wanywa viroba na wadeki barabara hazipo wananchi wanaelewa jitihada za mh rais kuleta uchumi wa viwanda wananchi wanachapa kazi makamanda wamekosa support ya wananchi wanataka kutengeneza muvi ya kutokea hvyo wamejifany kutishia kususia chaguzi zijazo sisi tunawaambia ukisusa wenzio twala nyie suseni sisi tutapiga kura na tutapata wawakilishi kwani hata msiposusa hamuwez kushinda
 
Wananchi hatuko tayari kuvunjwa miguu na hawa polisi ccm.
Wateuane tu yaishe.
 
Mwasisi wa Ujasiri wa Makamanda 2005-2015 ni Mkwere anaitwa Jakaya Kikwete na tangu astaafu Ukamanda wa Makamanda umeishia kwenye tweeter
Na Instagram ku post mafumbo!
 
Mwasisi wa Ujasiri wa Makamanda 2005-2015 ni Mkwere anaitwa Jakaya Kikwete na tangu astaafu Ukamanda wa Makamanda umeishia kwenye tweeter
Na Instagram ku post mafumbo!
makamanda wamekuwa waimba taarabu twitter na insta huku mshauri wao mkuu ni dada mange please hide my id
 
CCM mmejimilikisha jeshi la polis na mnalitumia kwelikweli kujeruhi, wapinzani wakati wa uchaguzi plus wakurugenzi makada wa CCM wanao pindua matokeo
 
Mwasisi wa Ujasiri wa Makamanda 2005-2015 ni Mkwere anaitwa Jakaya Kikwete na tangu astaafu Ukamanda wa Makamanda umeishia kwenye tweeter
Na Instagram ku post mafumbo!
Wameshaanza kutwangana makonde huo muda wa kufanya kampeni watautoa wapi. Afadhali tu wajifanye kuzila.
 
Back
Top Bottom