barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,322
- 29,583
Amejitafakari, naona ameona atashindwa kwa kishindo.
Ameona awaachie aibu hiyo chadema wenyewe.
Ameona awaachie aibu hiyo chadema wenyewe.
Ngoja msema kweli mzee mudaAcheni prooaganda hayo ya 2020 unayajua??? Yaani wabadilishe majimbo kma wanacheza bao??? Hakuna mtu anaweza fanya risk namna hyo
Btw huyo jaffary michael ubunge alipewa tu kwa fadhila za ndesamburo so sio mlafi wa madaraka kma unavyotaka kuonyesha hapa eti washikane mashati na mbowe!!!!
Huo ndiyo ukweli!Anaogopa aibu ya kushindwa
Alienda kikao cha kamati kuu kuwaomba agombee kamati kuu ya Chadema iridhie na kumtangaza lakini kamati ikakataa kwa misingi kuwa chama hakitashiriki uchaguzi wa marudio.Kumpoza wamempa ujumbe wa kamati kuuAmejitafakari, naona ameona atashindwa kwa kishindo.
Ameona awaachie aibu hiyo chadema wenyewe.
Toa ushahidi wa kisayansi kama PolepoleWasting of time ccm watashinda hilo jimbo tu.
Kitimoto Bila Nyagi Iyo Itakuwa Nyama Ya KunguruAiseee mambo moto sasa ni vita kati ya ufipa na Lumumba ............ Waiter another kitimoto pliz nchek huu mpambano
Bila polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .Ccm wanajipanga kwa wizi na uporaji wa kura
Unaelewa maana ya kushika dola? dola ni nini?Bila polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .
Na sisi inabidi tujipange kuiba hasa kipindi hiki ambacho NGUVU YA UMMA tuliyokuwa tukiitegemea, imetoweka.Ccm wanajipanga kwa wizi na uporaji wa kura
Kweli mkuu!Bila polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .
Dah, jamaa anajuta sasa. Kacheza karata zake vibaya sana!!Alienda kikao cha kamati kuu kuwaomba agombee kamati kuu ya Chadema iridhie na kumtangaza lakini kamati ikakataa kwa misingi kuwa chama hakitashiriki uchaguzi wa marudio.Kumpoza wamempa ujumbe wa kamati kuu
Hapa kwa kweli nawaunga mkono, WAJITOE TU, hata 2020 sioni umuhimu wakati matokeo yanajulikana.Hakuna haja ya upinzani kushiriki huo uchaguzi!!matokeo yashapangwa
akigombea urais, atapata. bora tuwe na mtu mwenye akili na mwenye exposure. tz tunaonekana washamba aisee kwasababu ya watu wengine kukosa exposure.Anajiandaa kugombea urais 2020, kwa hisani ya watu wa Marekani!
Kama nguvu ya umma imepotea kwanini ccm ya awamu ya 5 inatumia jeshi kuliko hata makaburu ?Kweli mkuu!
Tangu tupoteze NGUVU YA UMMA Polisi wanatuchezeachezea tu.