Raia wa kawaida hana athari hata akiasi SERIKALI yake maana si anagoma kimya kimya kunywa soda,chai,bia, energy nk? Pia,anaamua kutembea Kwa miguu huku akilima shamba lake na kula viazi vitamu ,mihogo,maboga,miwa nk bila kuprleka sokoni.?
Duh, umetisha mkuu. Nadhani wewe ni mtu wa mifumo na mipango isiyotekelezeka. Ni taikonMaster au nikupe Jina jipya ya king maker. Lakini hii movie ndiyo imeanza. Wewe upon kwenye siasa?
Hivi wakati huu wa UCHAGUZI mkuu, SERIKALI si imeshavunjwa na wagombea si wapo kwenye mchakato wa kuomba ridhaa ya kuchaguliwa. Je, amiri jeshi Kwa sasa ni nani?
Je, huyo mropokaji unayemchukia aliropoka? au alitenda kosa LA uhaini? No prosecution without justice. Hivi kwenye siasa za vyama vingi Kuna mipaka ya kuongea?
Hapo unamuona hana papara Kwa kuomba kuahirishwa kesi hadi wiki mbili? Ngoja kesi ianze, utajua nani mkali. Lakini kazi ya uwakili unafahamu kuwa ni kazi inayohitaji kuwa mtu smart? Hata amri ya MUNGU inaeleza kuwa usimshitaki mtu Kwa uongo?
Hakika umenena kweli kweli. Siasa safi na Uongozi Bora ni dawa ya kukubalika Kwa SERIKALI halali. Ikiwa Watanzania hawataridhika na SERIKALI Yao kutoka ndani ya uvungu wa mioyo Yao, kazi ipo. 🙄
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.