Recent content by Op Sangara

  1. Op Sangara

    JamiiForums Tanzania Kilio hiki bwana Lowassa utakilipia kabla ya 2015

    Hahaaaa nimecheka mno makamanda wenzangu tulivokua bize kumsema huyu fisadi ila tukageuka tena na wale tulioamua kubaki na misimamo yetu tunaitwa wasaliti. Mabadilikooooo..... lowasaaaaaa
  2. Op Sangara

    JamiiForums Tanzania January Makamba akifukuzwa natembea uchi Dar nzima

    Mafinga; yawezekana tupo pamoja. Mike
  3. Op Sangara

    JamiiForums Tanzania UVCCM wataka Rais Magufuli Amfukuze kazi January Makamba

    Hoja ya ukawa kwa sasa ni January makamba. Duh yaani ulipo tupo wametuharibia chama
  4. Op Sangara

    JamiiForums Tanzania CCM,CHADEMA,NCCR Mageuzi Jifinyangeni Kuepuka Mipasuko

    Utumwa wa akili huu. Akisusa USA so what
  5. Op Sangara

    JamiiForums Tanzania Hongera sana Halima Mdee na Ester Bulaya kwa mshikamano huu, nyie ni mfano wa kuigwa

    Kiukweli ukawa mnanifurahisha. Mtoa mada ye katoa pongez nyie mnapinga. Shida nini au kuna kitu kimefichwa kwenye pongezi. Hahaaaa. Tuliwaambia yale makapi tuliyashindwa nyie mkapokea.
  6. Op Sangara

    JamiiForums Tanzania Umoja wa VICOBA NIT wamtunuku Lowassa Tuzo ya Amani

    Tunzo ya kwanza kutoka taasisi inayofahamika. Kudosssss
  7. Op Sangara

    JamiiForums Tanzania Nilichokisema Channel 10 kuhusu ushiriki wangu katika KATIBA, UCHAGUZI na sasa - Part 1&2

    Natamani siku chadema turudi tujiangalie wapi tulipoanguka ili tusonge mbele. Its not too late
  8. Op Sangara

    JamiiForums Tanzania Nilichokisema Channel 10 kuhusu ushiriki wangu katika KATIBA, UCHAGUZI na sasa - Part 1&2

    Mabadiliko lowasa. Lowasa mabadiliko au sio
  9. Op Sangara

    JamiiForums Tanzania Nilichokisema Channel 10 kuhusu ushiriki wangu katika KATIBA, UCHAGUZI na sasa - Part 1&2

    Polepole nakuambia hawa wasikuvuruge kabisa. Hawatajibu hoja hawa. Mi natamani urudishe yale mapambano nyie na akina Slaa na Lipumba mlionyesha msimamo kwenye katiba ila sasa nyie ndo mnaitwa wasaliti. Makamanda wenzetu wamegeuka sasa wanaita yule aliyetupinga kwenye katiba kuwa ndiye...
  10. Op Sangara

    JamiiForums Tanzania Lowassa na upinzani wangefanya zaidi ya Magufuli na CCM

    Mwache huyo kwani hujui ni Kimario
  11. Op Sangara

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa CCM Akutana na Rais Magufuli Ikulu leo

    Naskia pia majengo yote mazuri DSM ni yake. Naskia tu kama ulivosikia
  12. Op Sangara

    JamiiForums Tanzania Kigogo CCM aguswa kashfa ya makontena

    Hawatakaa wakuambie wao wanasema tu ili wajulikane wanajua kupinga
  13. Op Sangara

    JamiiForums Tanzania Meya Kinondoni: Makonda punguza Sifa, Fuata Taratibu

    Umenena mkuu. Mi nilikua nawashabikia kipindi kile bunge la katiba na kudai rasimu ya warioba. Ila nikiangalia kinachofanyika sasa ni maajabu tofauti na ile ukawa tuliyoijua iliyokuwa na watu makini na hoja zisizoyumba.
  14. Op Sangara

    JamiiForums Tanzania Meya Kinondoni: Makonda punguza Sifa, Fuata Taratibu

    Najutia sana kipindi kile nilipokua najiita Ukawa damuni. Hivi kazi yetu ni kupinga tu
Back
Top Bottom