Kimsingi hua wanapewa fomu zote 40 kwa ajili ya kukusanya wadhamini lakini fomu 6 tuu ndizo zinakua na haja sana NEC ingawaje hata ukipeleka zote 40 wanapokea
Msaada Tutani wapendwa wanaJF
Hivi zile nafasi kule utumishi unaweza kufanya application zaidi ya nafasi moja? Na haitoathiri kua shortlisted.. Mw mwenye ushuhuda atasaidia sana.. Shukrani🙏🙏🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.