ooki
Member
- Feb 22, 2015
- 68
- 8
Wana sema unaweza
Asante sana kaka
Wana sema unaweza
Andka barua ya kiswahili wewe!! Hivi wao hawajui kingereza mpk wakatoa tangazo la kiswahili?Jamani wakuu hivi KATIBU TARAFA na KATIBU WA KAMATI wanaitwaje kwa lugha ya Kingereza?
Mkuu kuna mtu namsaidia kujirejista lakini ile meseji inayotumwa katika email ili ufanye activation ya account mbona haitumei?
Na unaweza itwa zaidi ya nafasi moja kwenye interview?
.
Andka barua ya kiswahili wewe!! Hivi wao hawajui kingereza mpk wakatoa tangazo la kiswahili?
Kwa wale ambao hawajaona tangazo
Jamani wakuu hivi KATIBU TARAFA na KATIBU WA KAMATI wanaitwaje kwa lugha ya Kingereza?
Km wamesema lugha mbili huoni km kiswahili ataandka kwa ufasaha kuliko English!! Lugha nilikuja Na meli mwache Mtu ajmwage kwa lugha yake asije anza andka I was joined hahahaKwenye tangazo wamesema barua ziandikwe kwa kiswahili au kiingereza mwache mtu aandike lugha ambayo yupo comfortable