nimeumia sana,hawa viongozi wetu wanaumiza akili zetu yaani miaka 8 sijapanda daraja tangu niajiriwe naishije na huu mshahara wa ualimu na hapo bado nmb mkopo nakatwa
usipende kukashifu kazi za watu,hii kazi now tunaifanya vijana tunaojitambua,huo ualimu unaouzungumza hapa ni wa enzi za mwl jk,halafu mwl sio mtu aliyofeli futa kauli yako,yamkini una kazi nzuri na kipato kizuri lakini usitumie kuwamamanga wenzako kumbuka nabii selemani alikuwa tajiri kupita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.