Nimechukua mtambo wa Zola mwaka jana,nilichukua flex marx Ac unalipia kianzio 185,000/= malipo ya mwezi ni 99,000/= kwa muda wa miaka minne na nilipewa Sola ya watts 240 na battery yao ni watts 640 na pia unapata Taa Tisa na inverter ya watts 300,Mimi nilichukua kwa mkopo that's why nimeeleza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.