Recent content by onyinye

  1. onyinye

    Msaada: Kutafuta maisha nje ya Tanzania

    Hiyo ni Harare to South ila maximum unatakiwa uwe na 250,000 hii ni tz to South njia ya bus
  2. onyinye

    Watupie neno hao waheshimiwa!

    Naona bora hawa wastaarabu kuliko wale wenzetu
  3. onyinye

    Tuna watoto 4, wote kwa operesheni, mimba ya 5 (na mke alishafunga kizazi)

    Kaka imesema aisee Dr. Kamugisha aliokoa maisha yangu ilikua nife mimi na mtoto. Kamuone Dr. Kamugisha atakusaidia. Yupo muhimbili
  4. onyinye

    Mchumba kapendeza jamani huyo

    Mwanga huyu.
  5. onyinye

    Unajua anavyovihitaji mwanamke kutoka kwa mwanaume ??

    Mtaishia kujitetea tu, Mara makavu laivu sojui nini hamna lolote.
  6. onyinye

    Samsung window phone! Msaaada jamani..

    Kweli hata mimi ninayo samsung SGH i917 windows 7 yani siwezi kudownlod chochote inagoma kabisaa.
  7. onyinye

    Katuni hii inatufundisha nini jamani?

    Kuzaa ni kupata.
  8. onyinye

    Jamani Sembe itaua watu... Check huyu tena

    Huyu nini hajui kinachoendelea asingekubali,
  9. onyinye

    Hodi hodi wanachitchat!!

    Asante ndugu. Nahisi nshakuwa mwenyeji humu.
  10. onyinye

    Hodi hodi wanachitchat!!

    Ndicho kilicho kuleta huku, vimwana hata kukaribishwa bado umeshaonyesha hisia zako. Mhhh sijui tusubiri wakubwa zetu tuone watakavyo kupokea.
  11. onyinye

    Hodi hodi wanachitchat!!

    Hodi hodi jamani, nimesikia makelele nikasema ngoja nisogee niulize kulikoni, kumbe! Huku maraha tu. Naombeni mnipokee.
  12. onyinye

    Maeneo yapi yanafaa kujenga kwa sasa Dar es salaam

    Au mlandizi ndo mpango mzima.
Back
Top Bottom