nadhani hili zigo tuwatwishe Jukwaa la wahariri (Tanzania Editorial Forum) wasiwe wepesi wepesi hivi,kupenda kusifia tu.wakubai kupokea na kuchapisha habari,kwa misingi ya habari
NMB,hii siyo sawa kwa sisi wastasfu wenye mkopo..nilichukua mkopo wa Benki kwa mkataba wa kukatwa kila mwezi pensheni inapoingia.ajabu tarehe 18 mwezi huu nimeingiziwa fedha toka mahali ikskatwa ilhali nilikuwa safari nikiitegemea kwa nauli.
Benki NMB,tawi Kaitaba
Account 32608000725
ndugu waandishi hao wanaishi ktk jamii hiyohiyo unayoishi wewe,wana damu na nyama kama wewe,mazingira ya Uhuru wa habari na kujieleza unayaona,hivi utalinganisha na ulipopataja? wewe binafsi umehoji nini kwa uwazi na weledi?mpira unawatupia wenzako!si kazi ya kundi fulani,bali kwa pamoja kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.