Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,415
- 4,057
Kigogo sio mtu, ni watu na wanafahamika.
Inawezekana......Kwa mtazamo wangu ninavyofahamu ni kuwa, Kigogo ni unanimous social media platform account, kuna utitiri wa watu (tena wengi hata hawafahamiani) wanaopewa access na moderator wa hiyo account kuandika na kuongea on behalf. Ni ngumu kumjua core owner ni nani na hata ukimjua haitakuwa na mantiki sana maana kuna unanimous wengi ndani ya akaunti moja.
Vioce hii ccm hii ni janga.Si ajitokeze wazi tu na aongee kwa kutumia sauti yake halisi. Mbona anatumia vioce changer apps wazi wazi kabisa.
Pamoja na kujificha lakini nimeshangaa sana leo kigogo kusikika sauti yake.
Je polisi watafanikisha jambo lao la kumsaka kumkamata kupitia hiyo sauti?View attachment 1862816
Umeongea kirahisi mno IT ni pana sana na ndimo alikojificha kigogo huko kuna makampuni ya ulinzi yapo ya hatari balaa na hata serikali ikitaka taarifa zako inatakiwa ile kampuni ilipwe pesa nyingi mno ndio maana wanaona wapotezee hata sauti kwa watundu wanaweka sauti ya mtu mwingine kabisa au wanatengeneza ukiongea sema bongo Vpn tuu inatusumbua huko kwingine ni mbali mnoo...Hata we we ukitaka kuwa kigogo unakuwa ili mradi uwe na facts ,hata Mimi na wewe tunaweza kuwa kama kigogo..! Just username+password
Sasa utasimuliwaje kuhusu sauti...Aliyeisikiliza anisimulie kwangu hata haifunguki
Na ukiwa ngumbaru ndio mtaji wao...Vioce hii ccm hii ni janga.
Upo sahihi kabisaaa!!!!!!Kwa mtazamo wangu ninavyofahamu ni kuwa, Kigogo ni unanimous social media platform account, kuna utitiri wa watu (tena wengi hata hawafahamiani) wanaopewa access na moderator wa hiyo account kuandika na kuongea on behalf. Ni ngumu kumjua core owner ni nani na hata ukimjua haitakuwa na mantiki sana maana kuna unanimous wengi ndani ya akaunti moja.
Kwa mara ya kwanza? Una uhakika sauti hiyo hakucheza nayo ili isikike tofauti na sauti yake halisi!?
Kwani kwa mfano kama Upo Tanga ukinipa username na password yako nikiwa Bujumbura sitaweza kulog in?Umeongea kirahisi mno IT ni pana sana na ndimo alikojificha kigogo huko kuna makampuni ya ulinzi yapo ya hatari balaa na hata serikali ikitaka taarifa zako inatakiwa ile kampuni ilipwe pesa nyingi mno ndio maana wanaona wapotezee hata sauti kwa watundu wanaweka sauti ya mtu mwingine kabisa au wanatengeneza ukiongea sema bongo Vpn tuu inatusumbua huko kwingine ni mbali mnoo...
Bila kupata sura au cm namba ni ngumu maana sauti naweza inachujwa unabadilisha unaiseti bado pagumu.Pamoja na kujificha lakini nimeshangaa sana leo kigogo kusikika sauti yake.
Je polisi watafanikisha jambo lao la kumsaka kumkamata kupitia hiyo sauti?View attachment 1862816
Tena international wale wa majuu ambao wanauwezo wa kudukua popote na wakataka dau lolote ili waachie.Jamaa anaonekana ni intelijensia
Mwangwi wa sehemu alipo nao umechangiaSauti yake inakaribia kufanana na ya Tundu lissu,, sijui ni ndugu hawa jamaa !