Mkuu naongezea mautam ya mechanical :: 1.power production 2.plant maintenance 3.mechatronics 4.Robotics etc etc sasa tena kwny mechanical tunasoma basic electrical engineering... MEC is too wide
wapendwa mliomo humu hasa wale ambao mnafahamu taarifa kuhusu MBEYA UNIVERSITY OF SCIENCE AND TECHNOLOGY naomba mnielezee vizuri kuhusu hiyo ishu ya chuo kufundisha kozi fupi kwa lugha ya kichina. nimesoma taarifa zao na nimeona kuwa ada yao sio kubwa sana lakini nina wasiwasi kama hii kozi...
Wapendwa naomba mnisaidie
mimi natumia airtel kwenye internet,nilijua bando za internet unlimited ni 2500 kwa wiki sasa maajabu yake eti kwa siku tu GB 1 ni shilingi 1000.sasa nikisema ninunue kwa wiki moja ni hela nyingi ntapoteza. matokeo yake naishia kununua MB 300 kwa sh 500. sasa na hii...
Mkuu nimeuliza sio kwamba cjapitia website. website napitia karibu kila cku ila nachokwambia ni kwamba,kuna tarehe mbili tofauti. kwenye school calendar wanasema ni wa 10 ilakwenye joining wanasema ni wa 11
Nataka kujua tarehe kamili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.