Hii Airtel OMG internet imepatwa na nini?

Hii Airtel OMG internet imepatwa na nini?

Mbona hipo ya 1500 unapewa GB 1.2 Dk 60 na Sms za kutosha kwa wiki nzima hau hamjui? Hii inauzwa vocha spesho. Nendeni Madukani zipo.

Alafu ipo ya Mwezi Mzima kwa elf6 unapewa GB 8 Madakia ya kutosha na mameseji ya kumwaga. Tembeeni madukani Mnunue izi vocha jamani, Airtel ni bomba sana.
zinapatokana wapi hizo mkuu embu nipe maujanja?
 
Halotell wanakuja kufanya mapinduzi katika maswala ya mtandao, gharama nafuu na speed ya ajabu.

Halotell wakijikita kwenye bundle za internet ni penetration strategy nzuri sana na watateka soko la internet
 
TIGO internet ni mbovu sana.
Mchana no network mpaka usiku.
 
Zipo madukani nyingi tu we sema university voucher unapata
Hizo za University ndiyo hizo ukitaka kujiunga ni mpaka uwe maeneo ya University? Niliwahi kusikia kitu kama hicho kwa wanaotumia mtandao wa tigo
 
Hizo za University ndiyo hizo ukitaka kujiunga ni mpaka uwe maeneo ya University? Niliwahi kusikia kitu kama hicho kwa wanaotumia mtandao wa tigo

Tigo ukitaka kujiunga mpaka iwe eneo la chuo ila airtel ukiwa na izo vocha unajiunga sehemu yoyote muhimu ni izo uni. Voucher
 
Back
Top Bottom