Wana JF nauliza rais nae mzigo?
Raisi nae Mzigo?
Watanzania wenzangu kwa kawaida GARI la MIZIGO ndo hubeba MZIGO/MIZIGO,tax ama daladala hata ikibeba mzigo/mizigo kiasi gani hatuwezi kuliita gari la Mizigo,lakini lori hata lisipobeba mizigo ukiliona tu utajua lile ni gari la mizigo...
najivunia kuwa CDM,najivunia kusoma chuo cha wanaharakati SAUT,Pia najivunia kuwa informer wa Mdede na makamanda wengine siku ya uchaguzi huo wa TAHILISO ,ambapo kupitia taarifa sahihi zilikuwa zinapelekwa kwa makamanda wagombea wa TAHILISO ,tuliwazibiti magamba na kumthibitishia Makonda is...
Wakuu sikuzote huwa nadondosha vitu vyenye ushahidi wa nguvu humu JF,nimeona uzihumu JF unaohusiana na mzee mmoja aliekabidhi kiwanja chake chenye ukubwa wa zaidi ya hekali moja ,ambacho kipo maeneo ya Mkuyuni njia panda ya kwenda chuo cha ualimu (Butimba TTC)kilomita kadhaa kutokea katikati ya...
Nimeona watu wameweka picha lakini si za kutosha na ilikuwa ni kabla ya Mbowe hajafika na zingine watu walikuwa hawajafika wote,cheki hizi hapa na matukio yote kwa ujumla katika picha,ilikuwa nzuri sana watu nyomi,ulinzi wa kutosha na wasomi kibao,hakuna cha watoa matamko wala nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.