Recent content by oneblood

  1. O

    Tuwe wakweli, tatizo la nchi hii ni Mawaziri au Rais wa nchi?

    Wote mizigo tu kwa taifa:lock1:
  2. O

    Tuwe wakweli, tatizo la nchi hii ni Mawaziri au Rais wa nchi?

    Nashukuru kwa kuwataarifu mods coz wapo moto sana
  3. O

    Tuwe wakweli, tatizo la nchi hii ni Mawaziri au Rais wa nchi?

    hapo ndipo busara zaidi inahitajika kuliko wakati wowote ule tulionao
  4. O

    Tuwe wakweli, tatizo la nchi hii ni Mawaziri au Rais wa nchi?

    Wana JF nauliza rais nae mzigo? Raisi nae Mzigo? Watanzania wenzangu kwa kawaida GARI la MIZIGO ndo hubeba MZIGO/MIZIGO,tax ama daladala hata ikibeba mzigo/mizigo kiasi gani hatuwezi kuliita gari la Mizigo,lakini lori hata lisipobeba mizigo ukiliona tu utajua lile ni gari la mizigo...
  5. O

    Mbinu za CCM vyuo vikuu na jinsi CHADEMA walivyowapiga counter attack

    najivunia kuwa CDM,najivunia kusoma chuo cha wanaharakati SAUT,Pia najivunia kuwa informer wa Mdede na makamanda wengine siku ya uchaguzi huo wa TAHILISO ,ambapo kupitia taarifa sahihi zilikuwa zinapelekwa kwa makamanda wagombea wa TAHILISO ,tuliwazibiti magamba na kumthibitishia Makonda is...
  6. O

    Huyu hapa mzee kamanda aliejitolewa kuipa chadema kiwanja chake bure (picha)

    Hapambunge wa Bihalamuro ,Antoni Mbasa,akilichangia tawi la CDM SAUT
  7. O

    Viongozi wapya wa CHADEMA 2014-2019

    Kama kweli timu hii ikiamua kugombea na wajumbe wakawachagua,chama kitashinda uchaguzi wa 2015 asubuhi sana na hatimaye magamba kuwa wapinzani
  8. O

    Huyu hapa mzee kamanda aliejitolewa kuipa chadema kiwanja chake bure (picha)

    na bado kuelekea 2015 MAGAMBA CCM mjiandae kisaikolojia la sivyo mtakonda,kwa huu moto wa CDM
  9. O

    Huyu hapa mzee kamanda aliejitolewa kuipa chadema kiwanja chake bure (picha)

    Wakuu sikuzote huwa nadondosha vitu vyenye ushahidi wa nguvu humu JF,nimeona uzihumu JF unaohusiana na mzee mmoja aliekabidhi kiwanja chake chenye ukubwa wa zaidi ya hekali moja ,ambacho kipo maeneo ya Mkuyuni njia panda ya kwenda chuo cha ualimu (Butimba TTC)kilomita kadhaa kutokea katikati ya...
  10. O

    Picha mkutano wa Mh Mbowe-Mwanza

    magamba waje tena na propaganda tena,R.I.P CCM,R.I.P mtoto wa miaka 11 alieuwa na gamba Mabina
  11. O

    Picha mkutano wa Mh Mbowe-Mwanza

    Nimeona watu wameweka picha lakini si za kutosha na ilikuwa ni kabla ya Mbowe hajafika na zingine watu walikuwa hawajafika wote,cheki hizi hapa na matukio yote kwa ujumla katika picha,ilikuwa nzuri sana watu nyomi,ulinzi wa kutosha na wasomi kibao,hakuna cha watoa matamko wala nini
  12. O

    Hawa ndo viongozi wa chadema saut na makabila yao.

    bt sometimes lazima wajibiwe kwani ukacha uwongo kwa mda mrefu watu huamini ni ukweli,japo sometimes tunapga kimya
  13. O

    Hawa ndo viongozi wa chadema saut na makabila yao.

    hata wewe unaweza kutusaidia by then hata awe anatokea kabila gani bado ni watanzania
  14. O

    Hawa ndo viongozi wa chadema saut na makabila yao.

    na ziatashindwa tu mwenyezi Mungu yupo nasi atatuvusha na kutuafu tukiwa wagonjwa
Back
Top Bottom