Emma Lukosi
JF-Expert Member
- Jul 22, 2009
- 929
- 147
Ni kweli asee
Wewe tukutane wapi kamanda?
Hivi zile siku 14 hazijaisha...
Nini kimeamuliwa...
Ni kweli asee
Wewe tukutane wapi kamanda?
niko nyumbani kwa mrs mwangosi, unaweza ukaja?
Mkuu nikumbushe jina la Yule mkurugenzi mwenzio pale ufipa Yule aliiba mchango wa msiba wa mwanafunzi pale mlimani Yeye akiwa Kiongozi wa serikali ya wanafunzi ,hivi anaitwa Nani vile mkuu?
Halafu ni wa Dodoma Yule jamaa nasikia laana Ile inamuandama mpaka leo ndio maana toka aanze kugombea hakuna nafasi aliwahi shinda ukiacha mbali hiyo yakuteuliwa aliyonayo.
Duh kweli Kula hela ya msiba ni laana mkuu.
Wakuu sikuzote huwa nadondosha vitu vyenye ushahidi wa nguvu humu JF,nimeona uzihumu JF unaohusiana na mzee mmoja aliekabidhi kiwanja chake chenye ukubwa wa zaidi ya hekali moja ,ambacho kipo maeneo ya Mkuyuni njia panda ya kwenda chuo cha ualimu (Butimba TTC)kilomita kadhaa kutokea katikati ya mji wa Mwanza,uzi ule wakamanda ulikosa picha sasa me nilifanikiwa kumulika live mzee huyo pindi anaongea na mwenyekiti akiomba atangaze hadharani,na mala baada ya kutangaza kwamba atagawa uwanja wake huo ndipo alijitokeza kijana mmoja na kuongea na yule mzee then mzee akaanza kupiga kelele kwamba jamaa amemtishia kumwuandipo Redbliged wakamshusha chini huyo kijana aliekuwa amevaa tshet nyeupe ya M4C,habari zaidi zilidai jamaa huyo amekuwa akimfata kwa mda mrefu mzee huyo akibembeleza auziwe kiwanja hicho bt mzee amekuwa akimgomea,na mwishoni mwa mkutano kijana huyo aliedaiwa kumtishia maisha mzee huyo alichangia tawi la CDM SAUT kiasi cha sh 100000 taslimu huku akitamba kwamba yeye ni CDM damu kamwe hawezi kuwa gamba.
View attachment 127192View attachment 127193
- :biggrin1:
Hivi zile siku 14 hazijaisha...
Nini kimeamuliwa...
Wameshapewa vingapi na wameendeleza vingapi?? Ukiangalia asset register ya CDM hamna building yoyote wala land. Siyo agenda ya CDM kufanya long term investment yoyoye cuz wanajifahamu kuwa wao ni wapitaji tu na wanajichumia matumbo yao.Mzee Sabodo alijitahid kuwapa na eneo but mpaka leo hamna kilichofanyika. Huyo mzee bora angetoa sadaka msikini au kanisani.
niko nyumbani kwa mrs mwangosi, unaweza ukaja?