Recent content by onebigrocktz

  1. O

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Me naomba uniambie madhara ya pete za bahati na faida zake.. nashukuru.
  2. O

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Naungana mshana jr punyeto ina madhara makubwa sana watu humu ni wanafki watakupoteza acha mara moja kupiga nyeto bila ivyo utakuja pata shida sana na ukipata madhara yake sahau kupona
  3. O

    Google adsense

    Vp ulifanikiwa pata
  4. O

    Google adsense inauzwa

    Kwann unaachana na hii biashara bro unatukatisha tamaaa tunaoanza na hatuna hata izo adse
  5. O

    Fahamu tabia ya kipekee ya ndege anaitwa(africa jacana)

    Sawa mkuu. Ntajitahidi nifanye ivyo
  6. O

    Mbeya: Mtoto aliyezikwa jana akutwa chumbani kwake mara baada ya mazishi

    Me sielewi hapa sasa alivyokufa ikawaje wasahau kumuweka kwenye jeneza
  7. O

    Fahamu tabia ya kipekee ya ndege anaitwa(africa jacana)

    Nimelenga dunia nzima na lugha ya dunia ni kingereza ndio maana nimefanya ivyo ... ila nimepokea wazo lako ni zuri ntajitahidi niwe naandaa kwa kiswahili pia.
  8. O

    Fahamu tabia ya kipekee ya ndege anaitwa(africa jacana)

    Wanapata bana ujue ata sisi tunaweza jiona wazur zen viumbe vingine wakatuona sisi wabaya
Back
Top Bottom