mleta mada we ni mnafiki na mzandiki na mchawi unaeishi,umetoa takwimu za miaka na asilimia ya kura za upinzani ulipofika 2010 umeacha hujasema,so kikwete alipigia kampeni upinzani
mjinga ni wewe,mada hapa ni wabunge wa ccm wamegoma kisa kiinua mgongo kimepungua,sasa tundu lisu au ukawa wamewahi kugomea malipo yao kama hawa magamba wenzio?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.