Infixi: Soma hapa: Yule daktari aliyehatarisha maisha ya wananchi wa Mbeya kwa kujiita Dr. bingwa wa magonjwa ya moyo, ambaye aliondolewa kwa nguvu ya kalamu ya mwandishi, sasa ameibukia Morogoro.
Dr. huyo anayefahamika kwa jina la Nyagori, ambaye hajawahi kusomee degree yoyote ya udaktari...
Nahisi wewe Calvinkimaro ni Mchaga. Kama kweli wewe ni mchana anasema: sijawahi kuona au kusoma ujinga kama huu wako ukiandikwa na mchana sina yako. Wachaga Wendi wanajitambua. Siku nyingine Fuchs utambulisho wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kama mbwa so unajidai mapinga kila kitu. Unashindwaje kusoma na kutafuta barua ya WHO....mbwa....kweli kweli!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hili la Steyn, Prof Kabudi unacheza kamari. Kumbuka Serikali ya Canada ni ndoto kuingilia huu mgogoro. Nikukumbushe kuwa Mkulima Steyn ni Myahudi na kwa hiyo ni automatically ni dual citizen wa Uyahudi na city of Montreal, Canada wabobezi wa sheria ni Wayahudi, kwa taarifa fupi hii ni ndoto...
Wewe Ndahani naona unakomalia Accacia kushindwa, unafahamu ' theory of takeovers and mergers'. Hizi kampuni ni kampuni ambazo zinafuata haki na taratibu za biashara nyie wapokonya haki mnataka wafanye mnavyotaka. Mtashindwa. Unategemea Barrick watakuwa tofauti kweli na Accacia! Unaumwa kichwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.